Mchepuko unaolewa

Mchepuko unaolewa

Nakubali kabisa babu
Ndicho huwa nasema hapa,love iwepo sawa ila kuna vitu vingi sana zaidi vinahitajika,six packs wala sura havileti chakula mezani...na hakuna perfection kwenye ndoa kuanzia muonekano mpaka tabia,kama zipo basi ni ndoa chache sana

Salute brenda18.

Watu wanataka vitu vyenye mashiko na siyo nyimbo za ndombolo na kukata kata mauno kwenye stage.

Hakuna mwanamke ambaye ataendelea kumpenda handsome wake wakati wanapanga Manzese. Na kwa mwanamume, uzuri wa mrembo unaisha baada ya kumfunua. Kinachoendelea ni mwanamke kujibeba kwa sifa za umama.
 
Last edited by a moderator:
Brenda hayo maneno nakubaliana nayo 100% ya Dark City. Lakini tafsiri yake sio watu kujirahisisha kwa tamaa za pesa.

Mkuu hata pesa pekee haibebi ndoa. Wapo waliofuata pesa mwisho wa siku wakajikuta wanazo nyingi tu ila wako jela. I wish I could spell the actual recipe ya ndoa.

Ni zaidi ya pesa, tamaa ya mwili na ndoto za alinacha!
 
shemeji Ukiona mtu anamuacha binti mrembo na Mtamu kama wewe kisha Anakwenda kupiga mbizi kwenye mto msimbazi basi Huyo atakuwa na Akili ovyo

Mwanaume hatoshek, labda aamue kuacha kuchepuka.
 
basi ni vizuri kama unamuheshimu lakini heshima pasipo uaminifu ni Kujipa maumivu tu.. Sumbai Mkurugenzi wa Wakamata fursa jf Ongea na Dada Mchungaji

Fulsa ilikuwa disqualifaid...
Nimeokoka nimeachana na fulsa japo nazimis na kuzitamani mno......

My dada Heaven Sent siku hizi huwa tunashirik nae maombi tuu, na kuhimizana kuhus neno la mungu,

Mkuu ibra87 nitake radhi, fulsa nimeacha
 
Last edited by a moderator:
Kama ulikuwa wachepukaa jua mama nae anachepukaa! Sa hv mchepuko wako kaolewaa sa usubiri na wewe mke wako kuliwaa! Fanya toba kuondoa unzinz kwenye ndoa yako
 
Fulsa ilikuwa disqualifaid...
Nimeokoka nimeachana na fulsa japo nazimis na kuzitamani mno......

My dada Heaven Sent siku hizi huwa tunashirik nae maombi tuu, na kuhimizana kuhus neno la mungu,

Mkuu ibra87 nitake radhi, fulsa nimeacha

Huwezi Kujiondoa Chamani bila Kushirikisha Bodi Ya Wenyeviti.. Hapo Umekiuka Kifungu Cha 28 ibara ya pili kisemacho kiongozi hawezi kujitoa katika Cheo chake bila kushirikisha Wajumbe waliomchagua... Hii Staili Ya Jecha Haikubaliki hapa jf sisi tunakutambua kama kiongozi uliotukuka
 
Last edited by a moderator:
Huwezi Kujiondoa Chamani bila Kushirikisha Bodi Ya Wenyeviti.. Hapo Umekiuka Kifungu Cha 28 ibara ya pili kisemacho kiongozi hawezi kujitoa katika Cheo chake bila kushirikisha Wajumbe waliomchagua... Hii Staili Ya Jecha Haikubaliki hapa jf sisi tunakutambua kama kiongozi uliotukuka

Mkuuu,
Nitatangaza rasmi hilo, ila kwa sasa nimejitenga pembeni na ubazaz na kushea....
Nimekuacha wewe , na mito na kaboom
 
Last edited by a moderator:
Mkuuu,
Nitatangaza rasmi hilo, ila kwa sasa nimejitenga pembeni na ubazaz na kushea....
Nimekuacha wewe , na mito na kaboom

mkuu neno ubazazi kulitumia hapa ni kutukosea Heshima.. Kukamata fursa Sio Ubazazi, ubazazi ni kutafuna karanga za watu huku zako hutaki zitafunwe. Itabidi tuitishe kikao na Tukusimamishe kazi ili upishe Uchunguzi.. Na hili suala ni lazima Hata Dada Mchungaji Heaven Sent Awajibike kwa kuwa katika wachezaji bora wa timu ya wakamata fursa wewe na Peterchoka ndio washambuliaji mahiri na Heaven Sent amechangia wewe kujiondoa
 
Last edited by a moderator:
mkuu neno ubazazi kulitumia hapa ni kutukosea Heshima.. Kukamata fursa Sio Ubazazi, ubazazi ni kutafuna karanga za watu huku zako hutaki zitafunwe. Itabidi tuitishe kikao na Tukusimamishe kazi ili upishe Uchunguzi.. Na hili suala ni lazima Hata Dada Mchungaji Heaven Sent Awajibike kwa kuwa katika wachezaji bora wa timu ya wakamata fursa wewe na Peterchoka ndio washambuliaji mahiri na Heaven Sent amechangia wewe kujiondoa

Teh teh....hiyo maana ya ubazazi nimeipenda mno.

Namshukuru dadakipenzi, dada mtumishi Heaven Sent kwa kunileta katika maombi

Kunifanya nizaliwe upya
 
Last edited by a moderator:
Kaka ni maamuzi sahihi kufanya hivo,na umefanya maamuzi ya busara.Kupotezea mawasiliano yake sio vyema,mnaweza baki kama marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo.
 
Maamuzi ya busara,lakini haina mantiki kupotezea mawasiliano ilhali hukumuacha kwa ugomvi.Bakini kuwa marafiki sasa kwa kubadilishana mawazo.
 
Teh teh....hiyo maana ya ubazazi nimeipenda mno.

Namshukuru dadakipenzi, dada mtumishi Heaven Sent kwa kunileta katika maombi

Kunifanya nizaliwe upya

lakini nahisi kumpenda Dada Mchungaji.. Kusubiri miaka Tisa Miye Sio Jux lazima ni Move On na mtu wa kunisaidia katika hilo ni Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
mkuu neno ubazazi kulitumia hapa ni kutukosea Heshima.. Kukamata fursa Sio Ubazazi, ubazazi ni kutafuna karanga za watu huku zako hutaki zitafunwe. Itabidi tuitishe kikao na Tukusimamishe kazi ili upishe Uchunguzi.. Na hili suala ni lazima Hata Dada Mchungaji Heaven Sent Awajibike kwa kuwa katika wachezaji bora wa timu ya wakamata fursa wewe na Peterchoka ndio washambuliaji mahiri na Heaven Sent amechangia wewe kujiondoa
Teh mimi kazi yangu ni kurudisha kundini wale kondoo waliopotea

Teh teh....hiyo maana ya ubazazi nimeipenda mno.

Namshukuru dadakipenzi, dada mtumishi Heaven Sent kwa kunileta katika maombi

Kunifanya nizaliwe upya
Amen kaka mtumishi

lakini nahisi kumpenda Dada Mchungaji.. Kusubiri miaka Tisa Miye Sio Jux lazima ni Move On na mtu wa kunisaidia katika hilo ni Heaven Sent
Aisee kumbe "unahisi" tu kunipenda, huna hata uhakika mwee. Ntakuombea mpendwa
 
Last edited by a moderator:
Hivi unaweza ukauambia mchepuko "nampenda mume wangu, kuliko navyokupenda wewe"?

Hahahaa well said. Huyo dafa anampenda sn mme wake mtarajiwa ndo mana anakubali kuolewa naye...mm kama mwanamke huwa inafika kipindi huwez kuendelea kubaki mvhepuko kwa kuwa kuna hamu kubwa ya kuwa mama wa mji anayetambulika na jamii yote na si kuhangaika miaka yooote kujifichaficha.
 
Hahahaa well said. Huyo dafa anampenda sn mme wake mtarajiwa ndo mana anakubali kuolewa naye...mm kama mwanamke huwa inafika kipindi huwez kuendelea kubaki mvhepuko kwa kuwa kuna hamu kubwa ya kuwa mama wa mji anayetambulika na jamii yote na si kuhangaika miaka yooote kujifichaficha.

Yani me huwa Nacheka afu naishia tu kumuhurumia mchepuko. Utamsikia mtu " yani kasema ananipenda mimi kuliko hata mkewe"
 
Yani me huwa Nacheka afu naishia tu kumuhurumia mchepuko. Utamsikia mtu " yani kasema ananipenda mimi kuliko hata mkewe"

wanaume Wengi Hulizwa na Hili suala, Wanaamini Sana Maneno kuliko vitendo pia kumkubali mwanaume huku Ukijua ana mwanamke ni sawa na kukubali kuchezewa.... Siku Mtakayojitambua basi nadhani na Hivi Vilio Vitakwishwa
 
wanaume Wengi Hulizwa na Hili suala, Wanaamini Sana Maneno kuliko vitendo pia kumkubali mwanaume huku Ukijua ana mwanamke ni sawa na kukubali kuchezewa.... Siku Mtakayojitambua basi nadhani na Hivi Vilio Vitakwishwa

Hamuwezi wote tukajitambua siku moja, tunawaombea na wengine wazidi kujitambua
 
Back
Top Bottom