Mchepuko unaolewa

Mchepuko unaolewa

Mdogo wangu, mwanangu, mjukuu wangu wafikiri sijui kinachoendelea..........? na Utu uzima huu nilionao nafahamu na najua kilakitu kinachoendeleana from AM to PM......... Upooo. ...... najua na wao watasoma hapa hivo hamna haja ya kuwaambia.
Life is to live the moment son, and am living. Am not waiting or searching for kind of life ndo nianze kuishi. I flow with the flow......... you are the ones who are missing a lot ...... yaani hamjui tuu na nikiwafahamisha naogopa mtazamisha boti langu buree let me keep on sailing Kasie mie.

Hivi we mchuchu, magufuli hajapitia kwenye njia zako?
 
Ha ha ha huyo ni hawara mzigo
Ewaaaaa..... yani ni hawara unayemfanyia Usamaria wema ili naniliu yake isizibe. Sasa hawara kama huyu anapokaba kama Roberto carlos unategemea nini??
 
Brenda, Brenda. Why would you get married to a man you don't love? Peer/society pressure?

Either of it is true,ndio maana huwa napinga nikikutana na post mtu anauliza kwanini hawaolewi?hio ndio society pressure inafanya watu waolewe na wasiowapenda kuogopa tu jamii itawaonaje
Binafsi siwezi hata kupretend kuwa kwenye relationship na mtu nisiempenda sasa lifetime commitment ntawezaje?
I pray for every beautiful lady out there who's struggling in such a situation......Amen
 
Hivi we mchuchu, magufuli hajapitia kwenye njia zako?

Asipite tena hapa ndo passaway ya kwenda home kwake uzuri wake tuu shimo lenyewe huwa halizibi hata aje na pipa hahahahaa basi aaah akiwa babu Asprin maisha yanaendelea club kama kawa.

Babuu shkamoo looh nakuona ushanyanyua bakora leo sio zamu yangu looh heheheheeee ngoja aje mwenye zamu........
 
Last edited by a moderator:
Asipite tena hapa ndo passaway ya kwenda home kwake uzuri wake tuu shimo lenyewe huwa halizibi hata aje na pipa hahahahaa basi aaah akiwa babu Asprin maisha yanaendelea club kama kawa.

Babuu shkamoo looh nakuona ushanyanyua bakora leo sio zamu yangu looh heheheheeee ngoja aje mwenye zamu........

1. Nimeshapiga marufuku matumizi ya neno shikamoo
2. Shimo lipi hilo lisiloziba? Hata kwa mkate??
3. Nimesitisha ratiba zote, leo ni zamu yako.
4. Nakusubiri
5. Ahsante kwa kunielewa
6. Uje without kabisa ili tusipoteze muda.
 
Where do you get a man of your dream?

Labda uchongeshe kwa fundi viatu. But uzoefu wangu wanandoa wengi waliamua kukamilisha maandiko.
Haha hii inamaanisha, either wanaume tuna-fall short, or wanamama wana ndoto zisizo na uhalisia.
 
halafu mchepuko anataka mume wake wa peke yake kazi kweli kweli... sasa zamu ya yeye kuliwa vyake umefika .. nenda salama mama
 
Wakuu sihitaji kutukanwa maana its too late for that! n its a true story....

Nataka tu ku 'share nanyi my story.. We've dated for more than 4 years, mabonde na milima tumepitia..tumeshibana sana...ni zaidi ya mchepuko kwangu. Hakuwahi kuniharibia home, alikuwa very understanding...we enjoyed each other's company! i dare to say that WE LOVE EACH OTHER!



Kaniambia anataka kuolewa now..na bwana kashampata....ingawaje bado tunapendana ila sina jinsi!Najisikia vibaya sana, but i have to let her go akaanze maisha yake mapya ya familia....

I'm sure hata akiwa huko anaweza bado kunipa mzigo kwa jinsi tulivyoshibana...Lakini sitaki hilo litokee, sijui ntalizuiaje?Nenda salama mama nenda, nafuta namba zako zote na ku block kila kinachokuhusu, nenda salama mama...

Chonde chonde mheshimu mumeo, ingawa humpendi kama unavyonipenda mimi...ila sina jinsi i have to let u go!..Sijui kama nichangie harusi ama lah! na nihudhurie ama lah! nisije kulia mbele ya kadamnasi bure....nenda salama mama, i'll always miss you!

Ndugu wahenga wanasema "Uhawara haufi", usiseme sana, kuna siku atakutafuta na simu atakupigia au atapita job kwako kukusalimia na kukupa taarifa jinsi anavyoendelea na "Baba Ngina" wake!!!
 
Back
Top Bottom