Ni kweli kabisaTuzo anazopataga mwanao yericko🤣🤣
Kwani yericko nae anakibunda?!Ujinga tu
Kwa lipi alilolifanya Hadi apewe hyo Tuzo
Yawezekana waandaaji wa hzo Tuzo washaona sehemu ya wao kutajirika ni kuwa karibu na watawala wa bongo maana wanapenda sifa sana
Namii naandaa Tuzo kuelekea 2030 kuna pesa mingi sanaHii nchi watu walishakata mshipa wa aibu
Hao watoaji tuzo ni wajinga, mtu huyu aliyevuruga uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 ndiye anaonekana ni jembe, huu ni upuuzi mkubwa sana.
Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa amekabidhiwa tuzo ya ZIKOMO katika kipengele cha Best Zikomo Member of Parliament of the year Africa & Caribbean 2025.
Waziri Mchengerwa amekabidhiwa tuzo hiyo na Katibu Mkuu cha Muziki wa Dansi nchini Tanzania, Abdul Malick Anania Sangura ambaye alipokea kwa niaba yake katika sherehe za ugawaji wa tuzo hizo usiku wa Desemba 17.
Aidha Waziri Mchengerwa amewapongeza waandaji wa Tuzo za Zikomo na amewashukuru wote waliompigia kura huku akisisitiza kuwa ushindi huu sio wake peke yake ni ushindi wa watanzania wote
Source Paza Sauti Media
======================
My take: Vita ya URAIS
Hao ni Project Maalum ya Tanzania iliyopo ZambiaNimeshangaa, hawa ZIKOMO si ndio wanampa(ga) tuzo za vitabu Yeriko Nyerere kila mwaka?
KumbeHao ni Project Maalum ya Tanzania iliyopo Zambia
Hawa ni matapeli kama matapeli wengine. Hata huyo Mcherengwa ni tapeli tu. Mtu mwenye akili zako huwezi kupokea tuzo ya kitapeli namna hii.Nimeshangaa, hawa ZIKOMO si ndio wanampa(ga) tuzo za vitabu Yeriko Nyerere kila mwaka?
😃😃Hawa ni matapeli kama matapeli wengine. Hata huyo Mcherengwa ni tapeli tu. Mtu mwenye akili zako huwezi kupokea tuzo ya kitapeli namna hii.
Mkuu, hivi watu huwa hawana haya? Kweli nimeamini ili uwe tapeli ni lazima uwe na confidence za kufa mtu. Na huko juu kuanzia Samia na waliomzunguka wote wako hivi.Yericko Nyerere Kila baada ya miezi miwili huwa anashinda hizo tuzo..
Hata wiki iliyopita alishinda🤣🤣🤣
Mkuu ndio wapi hivyo na hapo hivi karibu I ataanza kuitwa Daktari Mchengerwa wanapenda Sana titles..Mkuu, hivi watu huwa hawana haya? Kweli nimeamini ili uwe tapeli ni lazima uwe na confidence za kufa mtu. Na huko juu kuanzia Samia na waliomzunguka wote wako hivi.