Hamna kutolewa 😂Eti ushindi wa waTanzania wote. Mimi mnitoe kwenye huo Ujinga.
Ndio maana yake inaonekana "group admins" wanajipanga hata wakiwa hawana clean sheetHuenda nimepitwa na mengi, lakini ndiyo nimejua leo uwepo wa hizo tuzo
Naona vita vya Urais mwaka 2030 vimeshika kasi 🙌
Naona timu zinajiandaa kwa 2030Ndio maana yake inaonekana "group admins" wanajipanga hata wakiwa hawana clean sheet
Bila huruma unaletewa pembejeo zilizobadilishwa expire date aka nusu kaputi 🤣Naona timu zinajiandaa kwa 2030
Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kinieleza, Uchaguzi mmoja ukiisha ndiyo maandalizi ya Uchaguzi mwingine unapoanza
Kwahiyo Kuna ambao wanajiandaa na 2030 wengine 2035 na wengine 2040 🙌
Sisi Wakulima tujiandae kwenda kuwapigia kura tu huku tukihaidiwa pembejeo za bure🤪
HakikaNaona timu zinajiandaa kwa 2030
Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kinieleza, Uchaguzi mmoja ukiisha ndiyo maandalizi ya Uchaguzi mwingine unapoanza
Kwahiyo Kuna ambao wanajiandaa na 2030 wengine 2035 na wengine 2040 🙌
Sisi Wakulima tujiandae kwenda kuwapigia kura tu huku tukihaidiwa pembejeo za bure🤪