Wewe Mbulumundu, ili nyumba za bei nafuu unazotaka na mambulumundu wenzio zipatikane lazima serikali iweke ruzuku ya fedha. Kokote kule unakoona serikali duniani zimesaidia kupatikana nyumba za bei nafuu na kwa kuweka hela sio kwa njia ya mkato. Hilo shirika la nyumba linanunua cement, kokoto, mchanga na vifaa vyote vya ujenzi unakonunua wewe, sasa hizo nyumba za bei nafuu zitapatikanaje hapo? Au unataka shirika lijenge NYUMBA ZA TEMBE AU NYASI kama alizokuwa anakaa Babu yako kijijini?
Dr Slaa aliwaambia mumchague awashushie bei ya cement hadi shs 5,000 kwa mfuko mkamkataa na kuchagua mcheza ngoma, sasa isomeni namba