Mchechu wa NHC aundiwa zengwe

Mchechu wa NHC aundiwa zengwe

Haya kwa mazuri yote tuliyoyaona aliyofanya mchechu pamoja na kufufua hili shirika je ni faida gani wamepata watu wa hali ya chini hasa wanaotegemea makazi haya ya NHC au tunachekelea tuu haya majengo ya vioo yaliosimama huku mjini bila kujua umiliki wake halali na kodi zake?

I think this should be a topic here,not the success of Mchechu and list of all buildings we see around.

Mafanikio ya shirika yapimwe kulingana na kulichosemwa na huyu muheshimiwa hapa.
 
Jamani wakimtoa Mchechu hii nchi sasa basi tumuachie Mungu, kwani watendaji wazuri wote hawatakiwi tazama TBC baada ya kumuondoa Tido hakuna mtu anayeweza kuangalia habari kwa hata dakika 5
 
mnamjua vizuri nehemia mchechu au mnamsikia? msiongelee ushabiki hao wajumbe wa bodi sio mambumbu ni watu na heshima zao

Kumjua au kutokumjua si hoja, hoja hapa ni kwamba yeye ni mchapakazi na hata juha wa mwisho anaona na kuelewa kazi nzuri inayofanywa na shirika la nyumba. Sasa kama na yeye anapiga mdogomdogo ni kwamba atakuwa ana ustaarabu ktk kupiga...ana huruma ya kubakisha sehem kubwa kwa umma!
Tumwache msechu afanye kazi na shirika lisonge mbele!
 
I think this should be a topic here,not the success of Mchechu and list of all buildings we see around.

Mafanikio ya shirika yapimwe kulingana na kulichosemwa na huyu muheshimiwa hapa.

Mchechu mara kadhaa ameomba serikali kuondoa VAT kwenye nyumba zao ili watu wa kipato cha chini nao wamudu kununua nyumba zao kama zile za kigamboni.
 
Msechu it is very unfortunately he is playing in a pool of crocodiles
Hii inchi kwa sasa ukiwa mchapkazi unapigwa chini ili wapigaji waingie mzigoni.
Very sa ivi kwa mfano wakimpiga chini Msechu watamleta nani mwenye proven record ya kuliongoza sio shilika lingine bali hii hii NHC ambayo jamaa ameimudu.
Tz bwana full kero
 
Kawanyima vigogo tenda nini maana ccm ndo zao ukiwa nsafi hudumu milele wanataka fisadi mwenzao awachotee pesa za uchaguzi
 
Mchechu mara kadhaa ameomba serikali kuondoa VAT kwenye nyumba zao ili watu wa kipato cha chini nao wamudu kununua nyumba zao kama zile za kigamboni.

Now you are talking. This means huyu jamaa anafanya vitu kwa manufaa ya uma,maana hakuna maana kujenga majumbani halafu yanauzwa kwa bei ambayo wananunua mafisadi tu.

Lakini ishu inabaki kuwa Mchechu kachukua hatua gani baada ya serikali kukataa? Je kaweza kutumia huo uzoefu wake na CV yake kupata the other way around to make sure watu wa kipato cha chini wananufaika na hizo nyumba
 
Nehemia Mchechu Kyando mmoja kati ya vijana wazalendo na wachapa kazi. Mti wenye matunda siku zote ndio unaopopolewa mawe. Hongera mkuu kwa kazi nzuri usikatishwe tamaa na wasiopenda maendeleo na mabadiliko.
 
tatizo la mchechu amejenga majumba mengi na amekuwa na miradi mingi viable projects lakini ameshindwa kuwapa rushwa ya 10 per cent kwa kila mradi hao wajumbe wa bodi......

yaani wajumbe wanashangaa hawapewi.chochote na mchechu


hili ndio tatizo.mengine dhidi yake majungu
 
Acheni ushabiki wa kijinga! Jiulizeni kwanza maswali ya msingi ? Board hiyo kazi yake ni nini? ni kweli Mchechu amefanya kazi kubwa NHC hatukatai lakini tujiulize mchango wa Shirika hilo kwa maendeleo ya Taifa ni nini! Au ni kuboresha tu mishahara ya watumishi wa Shirika hilo? NHC sasa hivi wanatoza kubwa kodi kubwa za pango kuliko private sector! Mfano katika jengo lao jipya wanalomalizia hapa Musoma kodi ya "fremu" ni kati ya laki tatu hadi laki nne !kwa mzunguko wa biashara gani!? tatizo hapa nchini tumekuwa na ushabiki wa kijinga kwa kila kitu ! na hii ni kutokana ma-graduate wengi wa vyuo vikuu vya kata wasio na kazi mtaani ! Nehemia lazima mwisho wa siku lazima ajue vision ya shirika ni kusaidia Watanzania na si kuwanyonya Watanzania! Amefanya vizuri ku-improve image ya shirika lakini kama ataki kubadilika kuhusu rates anazotoza basi ama aombe tumbinafsishie shirika hili ama Board imfukuze tu aende akafanyie ujasiriamali wake kwingine! CCM kuweni macho na Mchechu mkimchekea na sifa za kijinga mtazikosa kura za wafanyabiashara wengi walioko NHC 2015!
 
Acheni ushabiki wa kijinga! Jiulizeni kwanza maswali ya msingi ? Board hiyo kazi yake ni nini? ni kweli Mchechu amefanya kazi kubwa NHC hatukatai lakini tujiulize mchango wa Shirika hilo kwa maendeleo ya Taifa ni nini! Au ni kuboresha tu mishahara ya watumishi wa Shirika hilo? NHC sasa hivi wanatoza kubwa kodi kubwa za pango kuliko private sector! Mfano katika jengo lao jipya wanalomalizia hapa Musoma kodi ya "fremu" ni kati ya laki tatu hadi laki nne !kwa mzunguko wa biashara gani!? tatizo hapa nchini tumekuwa na ushabiki wa kijinga kwa kila kitu ! na hii ni kutokana ma-graduate wengi wa vyuo vikuu vya kata wasio na kazi mtaani ! Nehemia lazima mwisho wa siku lazima ajue vision ya shirika ni kusaidia Watanzania na si kuwanyonya Watanzania! Amefanya vizuri ku-improve image ya shirika lakini kama ataki kubadilika kuhusu rates anazotoza basi ama aombe tumbinafsishie shirika hili ama Board imfukuze tu aende akafanyie ujasiriamali wake kwingine! CCM kuweni macho na Mchechu mkimchekea na sifa za kijinga mtazikosa kura za wafanyabiashara wengi walioko NHC 2015!

Mkuu upo sahihi kabisa na hili ndio ambalo mimi nimelisisitiza hapo awali kwenye comment yangu.Ishu ni kuleta unafuu kwa watanzania wa kawaida na hali ya chini waweze kumiliki nyumba

Ila naomba usome comment ya Kabembe hapo juu utapata sababu ambazo zina mbana jamaa,japo binafsi sikubaliani nazo sana sababu Mchechu ni great thinker so lazima awe na plan B,kuhakikisha kuwa shirika linaleta manufaa kwa watanzania wote.
 
Last edited by a moderator:
Wampe nafasi Msechu aendelee kutekeleza mipango shirika aliyoiweka. Waige mfano wa MD wa crdb ameongoza kampuni muda mrefu na amefanya vizuri.Pia viongozi wa serikali waache kuingiza maslahi binafsi,wabadirike. Mashirika lazima yaendeshwe kibiashara.
 
Acheni ushabiki wa kijinga! Jiulizeni kwanza maswali ya msingi ? Board hiyo kazi yake ni nini? ni kweli Mchechu amefanya kazi kubwa NHC hatukatai lakini tujiulize mchango wa Shirika hilo kwa maendeleo ya Taifa ni nini! Au ni kuboresha tu mishahara ya watumishi wa Shirika hilo? NHC sasa hivi wanatoza kubwa kodi kubwa za pango kuliko private sector! Mfano katika jengo lao jipya wanalomalizia hapa Musoma kodi ya "fremu" ni kati ya laki tatu hadi laki nne !kwa mzunguko wa biashara gani!? tatizo hapa nchini tumekuwa na ushabiki wa kijinga kwa kila kitu ! na hii ni kutokana ma-graduate wengi wa vyuo vikuu vya kata wasio na kazi mtaani ! Nehemia lazima mwisho wa siku lazima ajue vision ya shirika ni kusaidia Watanzania na si kuwanyonya Watanzania! Amefanya vizuri ku-improve image ya shirika lakini kama ataki kubadilika kuhusu rates anazotoza basi ama aombe tumbinafsishie shirika hili ama Board imfukuze tu aende akafanyie ujasiriamali wake kwingine! CCM kuweni macho na Mchechu mkimchekea na sifa za kijinga mtazikosa kura za wafanyabiashara wengi walioko NHC 2015!

Mimi rafiki yangu naona kama kichwa chako ni kidogo sana sana, eti mwisho wa siku anatakiwa kujuwa vision ya shirika ni kuwasaidia watanzania na si kuwanyonya. Kwahiyo huko nyuma shirika limeshawahi kuwasaidia watanzania? wewe una mjomba wako hata mmoja alikuwa anaweza kupata nyumba ya NHC???

Unaongelea kodi ya fremu kupanda mpaka laki tatu mpaka nne, utakubaliana na mimi kwamba huko nyuma hata kodi ingekuwa shs milioni mbili usingeweza kupata??? Unataka kuniambia kwamba zamani ili upate nyumba ya NHC lazima utoe kilemba????? Kwa hapa Arusha maeneo ya Goliondoi kilemba si chini ya milioni 40 kitu ambacho Nehemia ameondoa.

Acha mambo ya kijinga bwana kama hujui historia ya shirika kaa pembeni kwenye hii mada. Big up Nehemia and the team
 
Nehemia Mchechu Kyando mmoja kati ya vijana wazalendo na wachapa kazi. Mti wenye matunda siku zote ndio unaopopolewa mawe. Hongera mkuu kwa kazi nzuri usikatishwe tamaa na wasiopenda maendeleo na mabadiliko.

Tangu lini huyo Jamaa akawa Kijana? Mtu anaonekana keshavuka miaka 40 na bado unamuita Kijana? Argrghhhhhhhhh
 
Ningekuwa JK ningeagiza tokea leo Bodi hiyo ni HARAMU.
 
Itoshe kusema mti wenye matunda ndio unaopopolewa. Kabla ya Mchechu NHC ilikuwa Mali ya wahindi. Kumbukeni jitihada za Dr. Magufuli akiwa waziri. Tatizo la bei za nyumba sasa chanzo serikali kugoma kuondoa kodi
 
Back
Top Bottom