Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Nimesitika sana kusikia kuwa John Mnyika alishiriki mauaji ya Chacha Wangwe.

Yaani we ndo umejua leo? Huyo ni muuaji anayejulikana siku nyingi. Amekua akitumika kwa sababu hajitambui na hawezi kuwa na maisha nje ya siasa.

Wewe hujawahi kushangaa mtu aliyefeli chuo kikuu cha Dar es Salaam kurundikiwa madaraka kibao wakati hana elimu? Sababu kubwa ni kuwa huwa anaweza kutumika kirahisi kuua watu.
 
Last edited by a moderator:
Mzuri wa kukariri matusi ila mwepesi sana wa kusahau hujuma alizowafanyia wapenda mabadiliko Tanzania, Ukimsoma between the lines utaelewa kuwa taarifa yake imehaririwa na Nape, Zitto, Nchemba na Mwigamba... wameshindwa kuzia hasira zao hivyo kuelezea kwa hisia kubwa chuki zao dhidi ya Chadema, Viongozi wa Chadema... walivyojaribu kujenga hoja kumshushua Lisu ndo kabisa wameharibu tui lote!!! I wish wangejua kuwa kwenye siasa hakuna permanent situation, CCM wanashindwa sana kwakuwa wanaamini ktk fedha, wanaamini fedha walizonazo za ufisadi zitaweza kuwanunua Watanzania, Baada ya kuwapata akina Mchange, Zitto et al walifikiria wataiporomsha CDM, Matokeo yake wanaipaisha zaidi.... Huu ni Muda Muafaka wa Ile Taarifa ya Uchunguzi kuhusiana na Usaliti wake dhidi ya Chadema kuruhusiwa kujadiliwa kwa kina Humu Jamvini... Mods Please saidia ...
Mchange mchange...!!mbona ww ulihongwa na Mbunge wa Kibaha ili ukubali matokeo..ukaenda kujenga nyumba pale kwenu Uyaoni..Kibaha..!!😀😀😕
 
Pasco inakuaje mtu kama wewe unaungana na hawa political failures with cheap politics in this stiff political competition? Au these guys are your type?
Mtu ambaye mpaka sasa anafanya kazi ya ccm ni kijana asiyeaminika maana ccm haina maana yeyote sasa zaidi ya kukaba kila ambacho kinaweza msaidia mtanzania.
Mkuu humfahamu Pasco, huyu ni propaganda aliekubuhu wa ccm.

Mimi nilichoka nae kwenye ishu ya Rwakatale.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu humfahamu Pasco, huyu ni propaganda aliekubuhu wa ccm.

Mimi nilichoka nae kwenye ishu ya Rwakatale.
Mkuu Idawa, kwanza asante angalau kwa kunifagilia, ili na mimi nipewe heshima yangu humu jf kwa kunifahamu Pasco, ni propaganda wa CCM aliekubuhu.

Kwa wale wenye nafasi, nawaombeni mtembelee kidogo hizi ni baadhi tuu ya nyuzi zangu, msome jinsi ninavyoifagilia CCM!.

CCM Imechokwa;
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Mapungufu ya JK: Ni Rais Dhaifu! -
Chonde Chonde Rais Kikwete: CCM Itavunja Muungano!.
Tahadhari ya hatari: CCM Imepania Kufanya Kinyume cha...
Katiba: Nashauri Bunge Batili Lililopo Livunjwe!, Liundwe Bunge Halali la Katiba!.
Mchakato Huu wa Katiba, ni Umasikini Wetu!, Tujikubali

Na pia ni kufuatia propaganda hizo hizo, ili kuimaliza kabisa Chadema ili kuhakikisha inazikwa kabla ya 2015, pia mnaweza kusoma hizi baadhi ya nyuzi zangu muone jinsi nilivyoikandia Chadema.


  1. Mchakato Majimboni: JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe!.
  2. Yametimia!, CCM Imechokwa!, Chadema Njia Nyeupe 2015 .
  3. Vurugu Bungeni-"Blessing in Disguise!"-
  4. Kwa Hili! Hongera Sana Chadema, Hongera Mhe. Mbowe...

Thanks.
Pasco
 
Hizi siasa zina mambo mengi sana.
Watu ukiwakuta majukwaani mishipa na jasho imewatoka unaweza kusema ni watu kweli na wana machungu na nchi.

Lakini wanayoyafanya wakiwa huko faragha yanatisha sana.

Jamaa kanitia hofu iliyonipelekea kukiogopa hiki chama hadi naogopa hata kukiandika hapa na katu sitokiandika popote pale make nahisi nitaota matendo yao ndotoni.

Natoa wito kwa watanzania wapenda amani. Heri nusu shari kuliko shari kamili.

Na zimwi likujualo halikuli likakwisha. Bora kuendelea kubaki na mkoloni mweusi kuliko hawa wapaka poda.
mkuu yaani na wewe umeamini huo uharo ulioandikwa hapa? Pole sana, wajinga ndio waliwao, si unajua mwamba ngoma huvutia kwake? Za kuambiwa changanya na za kwako!
 
"...Tarehe 25/2/2012 saa 10:09 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831..." Source: KAPINGAZ-MAFOTO: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE ... Ili tuamini Maneno aliyoyasema Habib Mchange kwa waandishi wa habari leo, ni vema akatueleza kama kweli alipokea fedha hizo kiasi cha laki moja na nisu kama nilivyonukuu hapo juu kwaajili ya kuihujumu CHADEMA ... otherwise tutaichukulia kama anajaribu kujisafisha kwa jamii ili kuficha aibu kubwa iliyowakumba yeye na wasaliti wenzake ...
 
Yaani we ndo umejua leo? Huyo ni muuaji anayejulikana siku nyingi. Amekua akitumika kwa sababu hajitambui na hawezi kuwa na maisha nje ya siasa.

Wewe hujawahi kushangaa mtu aliyefeli chuo kikuu cha Dar es Salaam kurundikiwa madaraka kibao wakati hana elimu? Sababu kubwa ni kuwa huwa anaweza kutumika kirahisi kuua watu.

mtaturuka ruka kama kuku tetea muuaji mwigulu, ridhiwani,nchimbi,lukuvi wasira ahmed msangi ramadhani inghondu ndio wanaojulikana nchi hii wamesemwa humu JF na shahidi zimewekwa na m.wana.halisi gazeti - kwa kina mchan amemaliza huo kipi mboaunachekesa unafailure anayeitwa mhangenayfundshwa jmazi wa kisiasa ,kashinwa kuja najpyazaidi a propaganda zilezile
 
Mchange anateswa na njaa baas!

Mchange anaumwa ugonjwa uitwao amnesia,
Wakati chacha wangwe anapata ajali,hatua zote za kitaalamu zilizowahusisha polisi zilifuatwa,nani alihusika,mazingira yaliyopelekea ajali polisi ni wataalamu wanajua,iweje mchange mbumbu wa criminal and intelligent investigation hana leo aseme chadema inahusika katika kifo hicho.
Suala la Tundu lisu kufisidi fedha na mali,atupe ushahidi,lakini pia katika nchi hii kila halmashauri ina idara ya ukaguzi ambayo ni wakaguzi wa ndani na wa nje ambaye ni CAG hajatoa taarifa ya lini,wapi Lissu amefisidi fedha.?,
Mh.mbowe ambaye anadai kuchota ruzuku na kulipia deni lake kwenye mfuko wa hifadhi,hivi mchange na kamati kuu ya chadema Taifa nani anajua kuwa mbowe anafuja mali ya chama?
ni katika siasa za maji taka zisizo na mashiko ndio ameona atoke nazo.
Yeye mtaalamu wa kufuatilia mambo atuambie pia ndani ya ccm nani alimuua Horace korimba,nani alimuua mwandishi wa habari mwangosi?
katika hali ya vijana chadema kuwamwagia tindikali wanaccm, je hivi chama kinachoshawishi watu wajiunge chadema ni kwa mazingira gani kinaweza kutekeleza hilo bila dola ya chama tawala chenye Tiss,polisi,wapelelezi,washindwe kuwatia mikononi hao cdm?
Lakini pia hivi tujiulize toka tuingie kwenye vyama vingi wafanyafujo ni wapinzani tu?, kwa nini mahala ambapo polisi hawakuingilia kati mikutano ya vyama vya upinzani mbona hakukuwa na fujo?
zanzibar toka 1995-2009 cuf siku zote kukamatwa,kuitw wahaini,kupunguzwa kwa majimbo ya pemba nakuongezwa ya unguja hadi sasa,cuf hawako salama dhidi ya chama kilichozoea kutawala.
Tanganyika,enzi za nccr mageuzi,cuf,na sasa chadema,ccm imeendelea kutumia polisi kudraw attetion ya wanachadema kuwa ukiwa tofauti na ccm kimawazo ni adui hata mijadala hawataki ushahidi mwanaccm mwenzao jaji warioba.
Mchange anajisumbua watanzania,sasa wanajua chama kipi kinaensesha fujo hapa Tanzania na kila aina ya ubabe( tazama bunge la katiba,matusi kwa kwenda mbele).
 
Kaka acha kutoa povu. Hayo yote aliyoyasema Mchange wengine tunayajua siku nyingi. Mnyika ndio maana alishindwa kumaaliza Chuo kwa sababu ya laana ya damu za watu. Haiingii kichwani kijana asiyekua na elimu yoyot katika karne hii anakabidhiwa majukumu mengi katika Chama wakati vijana wasomi wapo. Ni mbulula tu kama wewe unayeweza kuwaaminisha watu kuwa viongozi wa Chadema siyo wauaji.

Eti ndege iliyombeba Babu Slaa na Mnyika ilitaka kulipuliwa!! This is no sense!! What is so special in them? Kama ukiwataka hao huhitaji hata kusubiri ndege yao.

Damu za watu alioshiriki kuwaua Mnyika zitamfuata popote. Huwezi kuwa unashiriki kuua watu halafu wewe ubaki salama.

Chadema nje ya siasa za mauaji hawana lolote. Kila mtu anajua jinsi wanavyohangaika kila siku ili wamuue Zzk.
wewe ni muhalifu kama wahalifu wengine tu, kama unajua wahalifu kwa nini usitoe taarifa kwenye vyombo vya usalama?
 
Unajisumbua bure kunitukana bora ujibu hoja za Mchange mkuu na kama huyo tiba ametoa majibu kwenye hoja za mchange weka hapa


Mkuu Rutta hizo comments za mkuu TIBA, haya kazi kwako na rekebisha comments zako tafadhari, maana ukweli ni huo:

Mchange yuko upande na anawatumikia CCM, na CCM ndio chama kinachounda serikali. Na kazi ya serikali ni kuhakikisha raia wake wanafuata sheria zilizowekwa. Sasa kama Mchange anawajua waliomuua Chacha Wangwe na ana ushahidi imeishinda nini serikali kuwafungulia mashtaka hao wauaji kwa kutumia ushahidi huo wa Mchange?

Acha kujitoa akili kwa ajili tu ya book 7, tunajua kifo cha Wangwe ulikuwa ni mpango wa CCM kwa kumtumia Mallya baada ya Wangwe kula hela za CCM na kushindwa kuisambaratisha CDM kama alivyoahidi. Kamuulize Makamba huu mpango anaujua kwa karibu, wewe unabwabwaja tu hapa.


Tiba
 
"...Tarehe 25/2/2012 saa 10:09 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani +255767137831..." Source: KAPINGAZ-MAFOTO: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE ... Ili tuamini Maneno aliyoyasema Habib Mchange kwa waandishi wa habari leo, ni vema akatueleza kama kweli alipokea fedha hizo kiasi cha laki moja na nisu kama nilivyonukuu hapo juu kwaajili ya kuihujumu CHADEMA ... otherwise tutaichukulia kama anajaribu kujisafisha kwa jamii ili kuficha aibu kubwa iliyowakumba yeye na wasaliti wenzake ...

change uvmilivu wa usalitiuemaidia sana make anpewa mamlioni katok wenye elfu kui aliouwa akifadhiliwa na zitto
 
Duh! Mimi nimeishia hapa, maana hili jaamaa nalikana na ndio maana watu walisema hakika kama Picha zisingekuwepo leo hii tungeamnishwa kuwa CHADEMA ndio wamefanya maujai yale.

"Wakati Dunia Nzima Leo inaamini kwamba polisi wa F.F.U walihusika kumuua David Mwangosi tarehe 2.9.2012 pale Nyororo Iringa,MBOWE, LISSU, MNYIKA na SLAA wanaujua ukweli, wanajua ni namna gani mchezo huu ulipangwa, namna gani mpiga picha aliandaliwa, namna gani taarifa za awali zilisambazwa na namna gani mlipuaji alifika eneo latukio na kutekeleza kazi yake maalum na baadae kuondoka kwa utaalamu wa hali ya juu, wanafahamu fika. Na kwenye hili pia mpaka sasa polisi wanahangaika kujinasua, lakini bado wamekwama. "
 
..tamko hili limejaa chuki na visasi tupu, halina ukweli wowote zaidi ya stori za kuungaunga.
 
Nahisi wanamtafutia DOGO KESi!



DSC_0392.JPG
 
Sasa kama cdm ni mabingwa wa kusuka mikakati kiasi cha kuzipiku taasisi za usalama za serikali na mpaka zinajitahidi kujinasua kwenye tuhuma husika zinashindwa si muwaachie nchi tu,they can do anything hata kumchomoa rais Ikulu bila vyombo vya usalama kujua!!!!!!!!!!!!!!!?????????
 
Back
Top Bottom