Utaona vipi hoja wakati wewe ni GAMBA na macho yako kunchuzi? Kama miushahidi yote imemwagwa si mpeleke kesi mahakamani na kesi mtashinda kirahisi? Kwani hii si serikali ya chama chenu? Mnajitetea kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ili iweje?Mkuu mbona sioni ulipo jibu hoja hata moja ya mchange?
Mchange ni nani?
Ama kweli picha zisingekuwepo, waongo wangepata kweli nafasi ya kufanya propaganda zao.Wakati Dunia Nzima Leo inaamini kwamba polisi wa F.F.U walihusika kumuua David Mwangosi tarehe 2.9.2012 pale Nyororo Iringa,MBOWE, LISSU, MNYIKA na SLAA wanaujua ukweli, wanajua ni namna gani mchezo huu ulipangwa, namna gani mpiga picha aliandaliwa, namna gani taarifa za awali zilisambazwa na namna gani mlipuaji alifika eneo latukio na kutekeleza kazi yake maalum na baadae kuondoka kwa utaalamu wa hali ya juu, wanafahamu fika. Na kwenye hili pia mpaka sasa polisi wanahangaika kujinasua, lakini bado wamekwama.
kama hujui kwamba c.c.m ndiyo walimkill wangwe,dk.muvungii,na mwangosi basi utakuwa umelazwa wodi za milembe.
Chadema ni wauaji kubali kataa hasa hilo la Wangwe aliuawa tu. Chama kina siri nzito lakin zitaanza kufichuka moja baada ya nyingne
Hana ajualo, yeye huandikiwa tu kisha hupewa asome bila kupunguza ama kuongeza neno
Unauliza maswali magumu mno hataweza kuyajibu