nimesoma comments zote na hiyo hoja ya mchange, tujiulize maswali macheache,
1.kama tuna serikali imara yenye kutetea raia wake, kwanini huu ushahidi wa mauaji ya watu wake mpaka sasa huyu mtu yupo nje? na ana ushahidi mf: ana ushahidi kifo cha mwangosi mpiga picha aliandaliwa, sasa tujiulize je na zile vurugu ziliandaliwa? (serikali fanyieni kazi aya maandishi ya huyo dogo, mabomu arusha n.k)
2. tutaamini vipi kuwa hili tamko hujaandikiwa na wabaya wa cdm ili kujisafisha na hizo tuhuma ambazo zinawakabili wao?
3.wewe ni mwananchama wa chama gani mpaka sasa, mbona avatar yako inaonesha nyuma kuna bendera ya cdm na gwanda umevaa?
4.umesema mbowe anachukua ruzuku na kulipa deni la NSSF, je wewe ni mfanyakazi wa hilo shirika mpaka ujue njia anazotoa mbowe ela kulipa? au unatumia ukaribu wa Dau na Zitto?
5.ni akina nani waliokulipia press conference yako ya leo?
6, mbona hujajibu tuhuma ulizopewa na hao madiwani, na kwanini kila ishu chafu unatajwa wewe?
yanatosha japo ninayo mengi zaidi, ila ushauri, ki ukweli umejiharibia future yako ya kisiasa, sidhani hata hilo jimbo la kibaha mjini unalolisema utalipata, lisahau kabisa kwa hizi siasa zako za njaa, unafuata ela inaponukia ndio unaenda zinakumaliza mwenyewe na umeshajimaliza tayari. narudia mimi si mwanachama wa chama chochote, uwa nafanya navyo vyote kazi za kijamii ila kwa hili usitegemee kama chadema watapotea zaidi mmewaongezea umaarufu, jitahidini muwe mnasoma na alama za nyakati, halafu mje na mikakati itakayosaidia kuiondoa nchi hapa ilipo. pole sana dogo kumbuka story ya yuda iskarioti.