hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 529
- 317
uzuri wa mchange husema ukweli ambao hauna hata chenga suala la chacha wangwe chadema hawakwepi.
Jaribuni kutafuta watu wapya wenye propaganda mpya sio kila siku mnaimba wimbo uleule!
uzuri wa mchange husema ukweli ambao hauna hata chenga suala la chacha wangwe chadema hawakwepi.
Nkuu Chikutentema, kwanja, achante!. Sifa ya kuita Press Conference niWaandishi wa habari kuwaita wakusikie mpaka ukidhi vigezo gani jamani, msaada.... Pasco
HABIBU MCHANGE AKANA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA ULIPUAJI WA HELKOPTA ILIYOWABEBA MNYIKA NA SLAA.
Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.
Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.
Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.
Du?!, Mkuu Serikali Tatu, kwanza asante!, ila umejuaje kuwa Pasco ndio alikuwa mmoja wa waratibu?!. Kiukweli inteligensia yenu, naivulia kofia!, kwa sababu ni kweli mimi ndio mratibu wa hii shughuli yote na nyingine zote za kuichafua Chadema, kuelekea 2015!, ila mpango wenyewe ulikuwa ni siri kubwa sana, kiasi kwamba sasa nashangaa, umejuaje?, na kibaya zaidi, umeiweka humu jf!, sasa kibarua changu kitakuwaje wakati umeisha niumbua hivi!?, sasa najulikana ni mimi!.
Oh poor me!, sass nitakula wapi?!.
Thanks.
Pasco
HABIBU MCHANGE AKANA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA ULIPUAJI WA HELKOPTA ILIYOWABEBA MNYIKA NA SLAA.
Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.
Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.
Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.
HABIBU MCHANGE AKANA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA ULIPUAJI WA HELKOPTA ILIYOWABEBA MNYIKA NA SLAA.
Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.
Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.
Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.
Chadema kamwe hawataweza kufuta damu za watu migongoni mwao waliyofanya yote yako dhahili.
Du?!, Mkuu Serikali Tatu, kwanza asante!, ila umejuaje kuwa Pasco ndio alikuwa mmoja wa waratibu?!. Kiukweli inteligensia yenu, naivulia kofia!, kwa sababu ni kweli mimi ndio mratibu wa hii shughuli yote na nyingine zote za kuichafua Chadema, kuelekea 2015!, ila mpango wenyewe ulikuwa ni siri kubwa sana, kiasi kwamba sasa nashangaa, umejuaje?, na kibaya zaidi, umeiweka humu jf!, sasa kibarua changu kitakuwaje wakati umeisha niumbua hivi!?, sasa najulikana ni mimi!.
Oh poor me!, sass nitakula wapi?!.
Thanks.
Pasco
Mpumba.vu sana huyu mtoto. Mi nakumbuka usiku ule nimetoka Chalinze nikafika kibaha nikapigwa mabomu kumbe lisenge liko ndani lina negotiate Mil 10! Mchange alikuwa rafiki yangu baada ya pale nilimdharau sana
Ni bora ndugu mchange ameweka wazi kuhusu namna CHADEMA wanavyotekeleza mauaji na ugaidi nchi hii, katika harakati za kueneza chama chao.
Weka picha mkuu iwe kama uthibitisho wa hoja yako.