chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Kumbe CCM kuchelewa koote kujibu tuhuma za kulipua helkopta walikuwa wanatunga huu upuuzi na kutafuta wa kumtumia?
Hata mimi nimewaza hivyo hivyo
Kumbe CCM kuchelewa koote kujibu tuhuma za kulipua helkopta walikuwa wanatunga huu upuuzi na kutafuta wa kumtumia?
Hawa watu ni wapumbavu sana. Kama wamesingiziwa si waend mahakamani, wanapokuwa kuleta utetzi wao hapa ni ishara tosha kwamba wanaogopa kwenda mahakamani. Ukweli wanaudhi sana.
Haya na nyie nendeni mahakamani kama mmesingiziwa mlimuua Chacha wangwe.
Soma hapa.
Dunia Nzima inajua kwamba watu hawa wameshiriki kikamilifu kumuondoa DUNIANI aliyekuwa makamu mwenyekiti wa chama CHACHA ZAKAYO WANGWE, Hii haina ubishi kwamba, MBOWE, SLAA na MNYIKA walijaribu mara kadhaa kutaka kumuua CHACHA WANGWE kwa kutumia sumu na kushindwa mpaka walipofanikiwa kumuua kwa ajali ya kutengeneza tarehe 28.7.2008 wakimtumia kijana ambaye Dunia nzima inamjua.
damu za watu zitamuandama sana !
DAAA R.I.P CHACHA WANGWE
Dunia Nzima inajua kwamba watu hawa wameshiriki kikamilifu kumuondoa DUNIANI aliyekuwa makamu mwenyekiti wa chama CHACHA ZAKAYO WANGWE, Hii haina ubishi kwamba, MBOWE, SLAA na MNYIKA walijaribu mara kadhaa kutaka kumuua CHACHA WANGWE kwa kutumia sumu na kushindwa mpaka walipofanikiwa kumuua kwa ajali ya kutengeneza tarehe 28.7.2008 wakimtumia kijana ambaye Dunia nzima inamjua.
Mkuu sijui kama ulikwenda shule! Na kama kweli ulikwenda nina haki ya kuwasikitikia wazazi wako! Kwa kifupi kasome commemnts za mkuu TIBA hapo. Itakusaidia kujielewa kuwa wewe umejaa oxygen kichwani tu na si zaidi.
hahaha Mwanasheriaaa duu.
Chadema kamwe hawataweza kufuta damu za watu migongoni mwao waliyofanya yote yako dhahili.
Mchange yuko upande na anawatumikia CCM, na CCM ndio chama kinachounda serikali. Na kazi ya serikali ni kuhakikisha raia wake wanafuata sheria zilizowekwa. Sasa kama Mchange anawajua waliomuua Chacha Wangwe na ana ushahidi imeishinda nini serikali kuwafungulia mashtaka hao wauaji kwa kutumia ushahidi huo wa Mchange?
Acha kujitoa akili kwa ajili tu ya book 7, tunajua kifo cha Wangwe ulikuwa ni mpango wa CCM kwa kumtumia Mallya baada ya Wangwe kula hela za CCM na kushindwa kuisambaratisha CDM kama alivyoahidi. Kamuulize Makamba huu mpango anaujua kwa karibu, wewe unabwabwaja tu hapa.
Tiba
Mpe pole ifweero sio mimi.Kamanda pole sana.
MboUnajisumbua bure kunitukana bora ujibu hoja za Mchange mkuu na kama huyo tiba ametoa majibu kwenye hoja za mchange weka hapa
Inashangaza anajinadi kwa kuitumia CHADEMA badala ya magenge yao.Eti yeye Mchange bado ni Chadema ....kwikwii kwiiiii......