Mbwembwe za Prof. Lipumba mahakamani

Mbwembwe za Prof. Lipumba mahakamani

Le rpofesari ameshusha sana hadhi ya uprofesa, mwenyewe nilitaka ni somee uporefesa, nimeghairi kwanza
Bora umeghairi kwani ungepata tabu kupata chuo cha kozi ya u profesa, vyuo vya kufundisha uprofesa havipo labda serikali hii ivinzishe mwakani.
 
Mm nilikuwepo na nilienda kwa nauli yangu.Lakini mbona hukuandika costa mbili zilizowabeba watu wa bibi yule na mabaunsa kutoka chadema.Na walizuiwa kutoka mpaka wamesaidiwa na polisi.Picha zipo fb.
Shilingi ina pande mbili
 
Mleta Thread hakika umedhihirisha wewe ni stomach thinkers and seekers a.k.a member wa divisheni zero au PhD hewa lepropesa maana hakuna mantiki au dhumuni la taarifa.
Kwamba taarifa za shari mahakamani siyo taarifa kwako. Hivi hujui mtu maarufu kila anachofanya ni habari regardless ni kwa ajili ya magezeti ya udaku au la. Na elewa magazeti ya udaku ni ajira kwa watu na utajiri pia
Hata hivyo nadhani ni wewe tu ulionyesha kutoelewa kitu ktk uzi huu.
 
Mm nilikuwepo na nilienda kwa nauli yangu.Lakini mbona hukuandika costa mbili zilizowabeba watu wa bibi yule na mabaunsa kutoka chadema.Na walizuiwa kutoka mpaka wamesaidiwa na polisi.Picha zipo fb.
Shilingi ina pande mbili
Mimi sikuona gari zingine zenye mabango zaidi ya zile zilizokuwa na mabango ya Lipumba. Sasa kama zilikuwepo za upande shindani na hazina mabango yoyote basi kwangu mimi ingekuwa vigumu kujua.
 
Roho inawauma sana juu ya huyu mtu.namuona nimtu pekee aliekataa umang wa chadema maana kilele zote hizi nikwaajil ya kuiabudu chadema nakuifuata inavotaka
 
wengi hamumpendi Lipumba kwa sababu ya chuki zenu binafsi. kati ya ninyi na profesa nani anakijua chama?

wakati mwingine tukae kimya tu kama vitu hatuvijui.
Asiyemjua labda mtoto aliyezaliwa Jana. Unstable professional person.
 
Back
Top Bottom