Kweli mkuu!wengi hamumpendi Lipumba kwa sababu ya chuki zenu binafsi. kati ya ninyi na profesa nani anakijua chama?
wakati mwingine tukae kimya tu kama vitu hatuvijui.
Wengi hawa jamaa Ni vilaza
Kweli mkuu!wengi hamumpendi Lipumba kwa sababu ya chuki zenu binafsi. kati ya ninyi na profesa nani anakijua chama?
wakati mwingine tukae kimya tu kama vitu hatuvijui.
Utadhani wewe unaishi Masaki vile!!!Kwenye mgogoro wa zitto na chadema zipo taarifa kwamba zitto alikuwa analetwa mahakamani na walinzi wa Riziwani , lakini mwisho wa siku aliangukia pua .
Siku ukisikia Lipumba kapigwa chini na mahakama ndio mwisho wa hao wapambe ambao gharama yao ni Azam cola mojamoja , wengi wanatokea Temeke mikoroshini na Buguruni kwa Mnyamani , hayo ndio maeneo ya mwanzo kabisa kupata kipindu pindu kila mlipuko unapotokea Dsm .
Wewe kilewea(pombe) ni bure Kabisa. UKAWA bila CUF msingepata kura 6mWapo wanaompa kichwa, lakini yana mwisho haya...
Hiyo nayo ni sehemu muhimu ya kilichojiri!Niliyegemea utueleze kilichojili mahakamani,na ndiyo muhimu siyo hao watu wanamuunga mkono Lipumba..
Na alikuwa ameloa jasho balaaHuyu ndiye raia pekee wa Tanzania aliyefunguliwa milango ya ikulu ili kutoa pongezi , njaa inadhalilisha sana , angalia viatu vilivyojaa vumbi ! Alienda kwa miguu ?
Ha ha ha ha ha ha nimecheka sana aisee!Itakua miaka ya 98-2005 hukufuatilia siasa za CUF,ya kawaida sana hayo,sawa tu na kuvaa gwanda kwenye jua na joto kali la dar bila kujali makalio yataloa kiasi gani kwa jasho
Mimi naishi Tandika Mwembeyanga karibu na Transfoma , kila mdau analijua hilo .Utadhani wewe unaishi Masaki vile!!!
Anakijua chama yeye lakini ameamua kukisaliti kwa vipande vya pesawengi hamumpendi Lipumba kwa sababu ya chuki zenu binafsi. kati ya ninyi na profesa nani anakijua chama?
wakati mwingine tukae kimya tu kama vitu hatuvijui.
Unamaanisha nn kipndupindu.?Kwenye mgogoro wa zitto na chadema zipo taarifa kwamba zitto alikuwa analetwa mahakamani na walinzi wa Riziwani , lakini mwisho wa siku aliangukia pua .
Siku ukisikia Lipumba kapigwa chini na mahakama ndio mwisho wa hao wapambe ambao gharama yao ni Azam cola mojamoja , wengi wanatokea Temeke mikoroshini na Buguruni kwa Mnyamani , hayo ndio maeneo ya mwanzo kabisa kupata kipindu pindu kila mlipuko unapotokea Dsm .
Teh teh teh tehHizo Mbwembwe kwa Prof ni kawaida yake sana, Mwaka 2000 wakat wa Kampeni nikiwa hi kushuhudia Mtwara gari ya RPC ikipalazwa kwa Mapanga na Mashabiki wake eti akae Pembeni Msafara wa 'Rais' unaelekea Tandahimba.
Miongoni mwa Mambo yanayonichekeshaga shaga sana kwa Prof ni hizo Mbwembwe za Mapanga shaa na Misemo ya Lipumba Mwenyewe
Me professeri ktk ubora wakeNilikuwa maeneo ya mahakama kuu leo mchana. Kwa kweli Le profesa ana mbwembe za kiulinzi na kiushabiki usipime. Yaani fuso limejaa wamama, halafu kuna gari ndogo kama nne zikiwa na makomandoo wa usalama kama anapita Obama vile, wanaruka kwenye gari kabla haijasimama vizuri kuchukua nafasi zao kumlinda prof.
Kwa haraka haraka ile ni gharama kubwa kuwaleta washabiki na walinzi wa aina ile. Ana hela sana Le profeseri! Hii dunia hii ni shida kwa kweli lakini tutakomaa nayo hivyo hivyo.
Sikuweza kipiga picha maana wale jamaa yawezekana wapo juu ya sheria, nimeona gari la magereza likiwapisha wapite kwanza.
Mrema ana mwisho gan mbona mwenyekiti wa TAIFA WA PARLOLEniliona hayo magari wabandika stika zenye picture yake...nadhani mwisho wake utakuakm mrema
ha ha ha ... loooh.., hili sasa balaa; ulitaka usomee uprofessor?!!!..., sijui kama unajua ulichokiandika
