Mbwembwe za Prof. Lipumba mahakamani

Mbwembwe za Prof. Lipumba mahakamani

Bora umeghairi kwani ungepata tabu kupata chuo cha kozi ya u profesa, vyuo vya kufundisha uprofesa havipo labda serikali hii ivinzishe mwakani.


Kwa Tanzania hili linawezekana kabisa, hasa kama Kenya wana ma'profesa' wengi zaidi. Yaani hapo utasikia waziri husika ..... ".... serikali imeamua kuthubutu kuongeza idadi ya ma'profesa' kwa kufungua kozi ya dharura UDOM ......!"
ONLY IN TANZANIA!
 
Wengine wapi unaowapenda, unaowapenda unawapa nini mpaka ajutie mapenzi yako prof..
mkuu me & u tuko tofauti sana unaishi katika dunia yako nami nina dunia yangu, una njia yako nami nina njia yangu,
is not fair kutaka nifikirie unachofikiri wewe
 
Jana nlifanikiwa kukutana nao hao jamaa wakiwa ktk magari yenye mabandiko yaliyoandikwa "chagua lipumba" nkawauliza kwan anagombea nn? Wakaanza kuniangaia kwa hasira ndipo jamaa mmoja karbu yangu akaniambia jamaa wana hasira sana hao watakupiga. Nikatulia zangu nkasepa.
 
Itakua miaka ya 98-2005 hukufuatilia siasa za CUF,ya kawaida sana hayo,sawa tu na kuvaa gwanda kwenye jua na joto kali la dar bila kujali makalio yataloa kiasi gani kwa jasho

Mkuu umenichekesha mpaka mbavu zimenuima af nina mafua weee noma
 
Propesa ni mbwe mbwe tu, mahakama ipo imara. Mimi ninaiamini itasimamia haki na huko ndio pahala pazuri kwa matatizo ya Lipumba. Msiwe na wasiwasi Propesa ndio mwisho wake huko.
Mkuu una uhakika na unachokisema!? Kumbuka aliyempa uenyekiti prof ni mhe jaji na mahakamani huko ndio ofisini kwake. Wahenga walisema, "birds of the same feather fly together" mimi siamini kama prof atashindwa na hata madevu nae kaliona hilo and this is why kuna fununu anatafuta chama kingine. Wakati sakata hili linaanza, madevu alishauriwa kujikita UKAWA na hasa Chadema, ushauri huo upo humu jamvini, hope hu ndio wakati sasa wa yeye kufanya hivyo.
 
Huyo sio profesa jamani ni 'pro pesa' angekuwa profesa angekuwa alishafukuzwa ktk chama chao!
 
ha ha ha ... loooh.., hili sasa balaa; ulitaka usomee uprofessor?!!!..., sijui kama unajua ulichokiandika
Mimi ilibidi tu ninyamazie hiyo comment ya mdau mwenzetu ili nisije kujaza watu.....ila kwa vile umeliongea basi ni kumuambia tu arudie kusoma alichoandika.
 
Prof huyu anatia aibu sana ma prof wenzie
simpendi

Huwezi wewe ukawa polisi, mahakama, shahidi na magereza. Ni wazi kwa kuwa humpendi hata kama hatii aibu wewe utamtafutia matope tu ya kumpaka. Ilitosha kusema humpendi, hiyo ya aibu ni kutaka ku justfy feelings zako kwa watu wengine ambao wala hujawauliza hisia zao, huo ni uongo! Wewe ni muongo.
 
Nilikuwa maeneo ya mahakama kuu leo mchana. Kwa kweli Le profesa ana mbwembe za kiulinzi na kiushabiki usipime. Yaani fuso limejaa wamama, halafu kuna gari ndogo kama nne zikiwa na makomandoo wa usalama kama anapita Obama vile, wanaruka kwenye gari kabla haijasimama vizuri kuchukua nafasi zao kumlinda prof.

Kwa haraka haraka ile ni gharama kubwa kuwaleta washabiki na walinzi wa aina ile. Ana hela sana Le profeseri! Hii dunia hii ni shida kwa kweli lakini tutakomaa nayo hivyo hivyo.

Sikuweza kipiga picha maana wale jamaa yawezekana wapo juu ya sheria, nimeona gari la magereza likiwapisha wapite kwanza.
huyo ndo mwenyekiti wa CUF, siyo mwenyekiti wa kuwekwa na Lowassa
 
Huwezi wewe ukawa polisi, mahakama, shahidi na magereza. Ni wazi kwa kuwa humpendi hata kama hatii aibu wewe utamtafutia matope tu ya kumpaka. Ilitosha kusema humpendi, hiyo ya aibu ni kutaka ku justfy feelings zako kwa watu wengine ambao wala hujawauliza hisia zao, huo ni uongo! Wewe ni muongo.
ukiona mtu anampinga Prof. Lipumba ujue yeye ni mmeba viatu wa Lowassa
 
Sultan Seif Sharif Hamad vipi umeipata hii ya Profeseri Lipumba?
 
Le rpofesari ameshusha sana hadhi ya uprofesa, mwenyewe nilitaka ni somee uporefesa, nimeghairi kwanza
hihihihi hahahhahaha kwikwikwikwi tehe the the hahahahahaha Kumbe u profesa huwa unasomewaga
 
Mimi sikuona gari zingine zenye mabango zaidi ya zile zilizokuwa na mabango ya Lipumba. Sasa kama zilikuwepo za upande shindani na hazina mabango yoyote basi kwangu mimi ingekuwa vigumu kujua.
Hamna Haja ya kushindana na ww wakati ni mpita njia .Sisi hatuogopi gari zinapaki palepal wao wanashushwa na gari huenda kwwnye paking za kulipia.Wamekuja na costa na mbele imeandikwa mtu kwao
 
Back
Top Bottom