Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
1,622
Reaction score
1,864
Ni mtu mashuhuri JIJINI Dar es Salaam anayesifika kwa biashara ya nguo na dawa za Binadamu ndizo zilizompa Maarufu na kutamba Mjini Kwamba ana hela, lakini ukweli ni Kwamba nimefika msibani kwa Baba yake hapa Iringa Mjini alikuwa anaishi Maisha ya kawaida Sana.

Sasa sijui ndiyo masharti ya Mganga, au ndiyo Hali imekuwa tete sana kama alivyosema Boss Kalewa Sasa wameamua kumtoa kafara Baba yao ili ale mema ya nchi kwa utajiri wa uchawi. Sijui!!!

Muda ni rafiki mzuri, nitaendelea kuwaletea yanayojiri msibani hapa Iringa Mjini, kesho uwanja wa mpira na kule kijijini kilichopo Kata ya Mseke.

Bloggers, wasanii, content Creators wote wamekatazwa kuchukua picha mgando na mjengeo nyumbani kwa marehemu ila wameruhusiwa kuchukua picha hizo uwanjani tu, na hata kule kijijini pia familia imegoma picha zisichukuliwe, huyu mwamba hajajenga kwao, Wala hajamjengea baba yake. Ni msumbufu tu kama wasumbufu wengine Hana hela Bali ni uchawi tu ndiyo anaotumia.
 
Yani kweli kabisa umeenda msibani kwa watu kuwachunguza, kuwaanika na kuwatweza utu familia ya watu?

Hapana Mkuu.

Nilitegemea kuona utofauti kidogo siyo kwa mbwembwe zile za Mjini anazotutambia mkuu, si Bora uishi key low profile tu, haya wasanii wanashangaa hata mademu aliowakula wanashangaa, hapa Iringa Mjini tunapishana na Magari ya wasanii na watu Maarufu tu, lakini na wao wameshangaa, eti Familia imegoma picha mgando na mjengeo zisichukuliwe.
 
Hapana Mkuu. Nilitegemea kuona utofauti kidogo siyo kwa mbwembwe zile za Mjini anazotutambia mkuu, si Bora uishi key low profile tu, haya wasanii wanashangaa hata mademu aliowakula wanashangaa, hapa Iringa Mjini tunapishana na Magari ya wasanii na watu Maarufu tu, lakini na wao wameshangaa, eti Familia imegoma picha mgando na mjengeo zisichukuliwe.
Mbwembwe za mjini ni haki ya kikatiba.

Kutojenga kwa baba ni haki ya kikatiba.

Kwanza tuachane na ujinga wa kuwabebesha watoto mzigo wa kuwajengea baba zao. Hayo ni maisha ya kimasikini. Baba anatakiwa awe kajenga kwake mwenyewe. Mtoto kumjengea baba liwe suala la hiyari.

Matatizo katika maisha ya baba unamlaumu vipi mtoto? Huelewi wapi kuwa ni wajibu wa baba kumhudumia mtoto, lakini si wajibu wa mtoto kumhudumia baba?

Wewe una maumivu kwa sababu mwenzako kakuzidi kwenye mbwembwe za mjini, ukaenda kumtafutia cha kumsema kwa baba yake, tena msibani, wakati inaonekana hata hujui uhusiano na baba yake ukoje.

Huu ni umbea tu wa kujipoza maumivu kwenye mashindano ya mbwembwe za mjini.
 
Kwa nini ujenge kwenu na sio kujenga kwako???

Ile sio nyumba ya vubei bali ile ni nyumba ya baba wa vubei, how come umlaumu mtu kutokwenda kujenga nyumba ya mwanaume mwenzie?

mi mwenyewe hata niwe na ukwasi sawa sawa na elon, siwezi kwenda kujenga kijijini kwetu, otherwise waniuzie nipamiliki ndio nitajenga maana ni kwangu sio kwa baba.


Jus imagine Mara paaaap!!!! Umefilisika majumba, mabiashara na bata la dar huliwezi tena, ukaamua ngoja nirudi kijijini, ukirudi kwenu kwenye nyumba uliyoijenga wakikustahi sana watakupa chumba kimoja ujistiri.

Na siku ikitokea inauzwa, hawatakuwa na huruma yoyote kwako
 
Dah mtu mzima una tumia masaa zaidi ya 5 kwenye safari, ili uka mnange mwanaume mwenzio kwenye msiba wa mzee wake?.

ajenge asijenge wewe haikuhusu, vipi kama mzee wake alikataa kujengewa?.

Wivu, husda na chuki vime kujaa mzee, beside family issue zake hakuziweka public respect that.
 
Dah mtu mzima una tumia masaa zaidi ya 5 kwenye safari, ili uka mnange mwanaume mwenzio kwenye msiba wa mzee wake?.

ajenge asijenge wewe haikuhusu, vipi kama mzee wake alikataa kujengewa?.

Wivu, husda na chuki vime kujaa mzee, beside family issue zake hakuziweka public respect that.
Huyu mwanga tu, huoni alivyokimbilia habari za masharti ya mganga?

He is projecting his behaviors unto others.
 
Watu tunatofautiana, mie kipato changu kinaendana na maisha ya kwetu na ndugu zangu, na kikiongezeka zaidi basi kwetu kutanoga zaidi...

Kuna shida gani kumjengea mzee vi apartment akawa anakula kodi, mie niwe namiliki ukwasi wa karibia bilioni1,3,5 ama 10, haiwezekani mzee wangu akose kibanda hata cha milioni 30, eti kisa ye alikuwa wapi kujenga, kwangu hapana, ye hakubahatika kuzipata sasa mimi ninezipata kwangu naona ni wajibu yeye aishi vizuri
 
sometimes a home isn't just a house, it carries memories, legacies, history, a lot of nourishing moments.

where do you get the guts to destroy what you didn't built or contribute to?.

without the consent of the owner, you're just another trespasser.

It's not about cash, it's all about respect.
 
Watu tuna tofautiana, mie kipato changu kinaendana na maisha ya kwetu na ndugu zangu, na kikiongezeka zaidi basi kwetu kutanoga zaidi... kuna shida gani kumjengea mzee vi apartment akawa anakula kodi, mie niwe namiliki ukwasi wa karibia bilioni1,3,5 ama 10, haiwezekani mzee wangu akose kibanda hata cha milioni 30, eti kisa ye alikuwa wapi kujenga, kwangu hapana, ye hakubahatika kuzipata sasa mimi ninezipata kwangu naona ni wajibu yeye aishi vizuri

Ni sawa unachosema, Ila kwann usipojenga watu wakulaumu kama wanajua historia ya kimaisha ya Familia yenu?

Watu waache kufatilia mambo ya watu
 
Kwa nini ujenge kwenu na sio kujenga kwako???

Ile sio nyumba ya vubei bali ile ni nyumba ya baba wa vubei, how come umlaumu mtu kutokwenda kujenga nyumba ya mwanaume mwenzie?

mi mwenyewe hata niwe na ukwasi sawa sawa na elon, siwezi kwenda kujenga kijijini kwetu, otherwise waniuzie nipamiliki ndio nitajenga maana ni kwangu sio kwa baba.
Umasikini tu huu unawasumbua ukiwa na hela hauwezi kuwa na mawazo kama yako..tembea uone watu wanavyoishi sio kwa mawazo haya..nyumba shilingi ngapi mpaka useme umiliki wewe..
 
Utakuwa kwenye msiba wa Vunja Bei

Kama ndiyo, hilo linawezekanaje? Pia mdogo wake si amekuwa mbunge? Wanashindwaje kumjenga baba?

Ukiona watoto wana hela, Hawajali ipasavyo wazazi wao, Kuna kitu hakiko sawa kwenye hyo familia.

Ila nijuavyo mm, mtoto ukimlea vzuri ni ngumu sana kukuacha katika mema yake ya baadae
 
Back
Top Bottom