maji chumvi vs maji baridi --- nothing moreNimekutana na hii video on social media hadi nimeshangaa
Kwani samaki wetu wana shida gani 😳
View attachment 3546873
Huyu mtwana hana akili ya kufikiri, kama hataki Sato, perege, kambale si wengine wanakula....kwani lazima ale yeye huyu fala? Haya ni mambo ya soko, kama hazinunuliwi mbona bado zinasafirishwa ZNZ?. Tatizo la hawa wenzetu akili zao zipo makalioni. Huyu shoga ana shida kichwani, na wengine wanachekelea upuuzi. Hivi hili ni bunge au baraza la kahawa?Nimekutana na hii video on social media hadi nimeshangaa
Kwani samaki wetu wana shida gani 😳
View attachment 3546873
Hawana shida.Nimekutana na hii video on social media hadi nimeshangaa
Kwani samaki wetu wana shida gani 😳
View attachment 3546873
Samaki wagalatia😂Nimekutana na hii video on social media hadi nimeshangaa
Kwani samaki wetu wana shida gani 😳
View attachment 3546873
Hii ndo hoja hakuna kngne hapo zaid ya udiniSamaki wagalatia😂
Hii ndo hoja hakuna kngne hapo zaid ya udini
Halafu wengine wanampigia makofi. Hivi vichwa visivyo na visogo havijawahi kufikiri sawa sawa. Akili zao zipo sehemu nyingine.Hii ndo hoja hakuna kngne hapo zaid ya udini
Wenyewe kwa wenyewe tu hawapendani.Wabaguzi sana
Soko huria, walaji ndio wanaochagua, sasa kama wewe huli, unawakataza wengine kula? Jaribuni kufikiri kwa kutumia akili. Suala si la kuzoea, kama mama yako hali, wengine tunakula. Sasa unatupangia vitu vya kula?Aliyezoea kula samaki chumvi toka utotoni ukimletea samaki baridi kiuhalisia huona hawafai.
Vivyohivyo kwa sisi tuliozaliwa na kukulia mwambao wa ziwa victoria, samaki wa baharini huwa tunaona jau sana ile radha na shombo lake pale unapoanza kuwala.
Ni mazoea tu, naamini hata leo hii ukimpelekea Mama yangu aliyepo Mwanza samaki wa baharini sidhani kama atapendezwa nao make kazoea wa ziwani toka kuzaliwa kwake.