Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,602
- 14,831
naam uzi ufungweAliyezoea kula samaki chumvi toka utotoni ukimletea samaki baridi kiuhalisia huona hawafai.
Vivyohivyo kwa sisi tuliozaliwa na kukulia mwambao wa ziwa victoria, samaki wa baharini huwa tunaona jau sana ile radha na shombo lake pale unapoanza kuwala.
Ni mazoea tu, naamini hata leo hii ukimpelekea Mama yangu aliyepo Mwanza samaki wa baharini sidhani kama atapendezwa nao make kazoea wa ziwani toka kuzaliwa kwake.