Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,927
- 23,267
Wanaume adimu ni wenye hela wenye Status nzuri, wengineo wamejaa na kumwagikaKwahiyo mbunge anakua mke number tatu kwa maureed kitenge loh, wanaume ni adimu sanaa.
Wanaume adimu ni wenye hela wenye Status nzuri, wengineo wamejaa na kumwagikaKwahiyo mbunge anakua mke number tatu kwa maureed kitenge loh, wanaume ni adimu sanaa.
kapicha kidogoMtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
IslamKumbe alikuwa bachel
Huyo ni mbunge wa bunge, heshimu uamuzi wa mahakama wewe na Kitenge chako.Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Mahakama inawahesabu kama wabunge wa Chadema hadi June 2025Huyo ni mbunge wa bunge, heshimu uamuzi wa mahakama wewe na Kitenge chako.
PichaMtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Kwahiyo tamko lake halianzi kutamkwa mpaka muda huo!Mahakama inawahesabu kama wabunge wa Chadema hadi June 2025
Umemaliza kila kitu mkuu, na uzi tunaufunga hapa😂Wanaume adimu ni wenye hela wenye Status nzuri, wengineo wamejaa na kumwagika
Daaaah mwanamke niliyekuwa nampenda kaolewa. Kwanini kitenge asingeniachia tu jamani? 😂😂😂Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Ni wa chama gani?Nusrat Henje sio CHADEMA,sahihisha hizo Propaganda zako.
Kwahiyo Kitenge kaowa kada mwenzake?Jaji anasema Alifukuzwa chadema kihalali. Ukishafukuzwa unakosa sifa za kuwa mbunge. Hatuna kwenye sheria zetu mgombea binafsi
Kama wamekula mshahara kwa kodi zetu muda wote huo anashindwaje kuomba michango ya kuolewa🤣Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Mwenyekiti anasemaje?Nusrat Hanje ni mbunge wa spika,Chadema haina mbunge wa viti maalum.