sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,375
Nawapongeza Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga pingu za maisha japo waliamua kufanya ndoa ya siri.
Chumvi kapata chombo ya ukweli.
---
NUSRAT HANJE JIKO JIPYA LA MAULIDI KITENGE
Mtangazaji nguli wa Michezo Kutoka Wasafifm Maulid Kitenge amefunga ndoa na Mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje.
Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio walihudhuria tukio hilo.
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram wa Mbunge Nusrat Hanje amethibitisha Hilo Kwa Kuweka Post "Happy birthday Mume Wangu" Huku akiambatanisha Picha ya Maulid Kitenge