Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,634
- 28,781
Kwa sababu iyo ndo wameamua kumroga?Pole zake nimemsikia akizungumza mwenyewe ajali hii na yuko vyema maumivu kidogo.
Mbunge wa Handeni lakini mkazi wa upanga!? Ni shida ndio maana hatubadiliki wananchi hawamwoni mbunge hadi kampeni!! TZ pekee!!?