Ni wapi ulifanya research ikaonyesha kwamba, ubongo wa Mwanadamu ili aelewe kile kinafundishwa, inahitajika miaka mitatu ama mwaka mmoja darasa moja?Asamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge