Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Msomi Gani.wewe unaye shindwa kumwelewa hapa,na kuishia kutuletea hapa tuhuma zisizo na.ushahidi,hapakuwa na Serikali kipindi hicho!?Kwa Taarifa Yako hii ni aina ya uwasilishaji wa ujumbe ya kiwango Cha juu kabisa,wasomi wa makaratasi anawaacha hewani wakielea
 
Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree

Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Huyo Yuko Makini Sana anapotoa hoja,usikariri elimu ya kizungu,tulia na uelewe hoja zake.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Usimjadili yeye Nini alifanya,jadili hoja yake,hata wewe wanaokujua yawezekana Kuna mengi maovy umefanya
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Kama kweli ametajirika kwa njia hiyo mpe heshima yake.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Na wewe, toka Kwenye branketi la usomi uone na kujifunza kutoka kwa wajinga!!

Mf mdogo tu Kwa wewe msomi!

Ni lini umefanya research Yako, ukajiridhisha kwamba, ubongo wa Mwanadamu hauna uwezo kabisa wa kusoma madarasa mawili Kwa mwaka?

Na vipi ubongo huohuo upangiwe kwamba, ndani ya mwaka mmoja ndio kiwango chake cha kuezlewa somo moja, Kwa nini isiwe miaka mitano ama zaidi?

Wasomi msiojifunza Kwa wajinga ni utumwa wa Elimu zenu

Profeseli wewe nini?
 
Labda anaongelea short-courses. Lakini wacha ng'ombe tu waishe...sisi walevi bia zitashukaje bila nyamachoma?
 
Leo hii mtu asome miezi nane apewe degree ya Pharmacy au MD?..amelitolea ufafanuzi hili?

Tatizo la ajira huwezi kulimaliza hivi..na nchi lazima iwe na wasomi regardless ya watapata kazi ya walichosomea au lah..hatuwezi kuwa na idadi kubwa ya watu wasio na elimu nzuri..Tubadilishe elimu yetu iwaandae vijana kupambana na mazingira na kuwa wabunifu,serikali pia iweke mazingira mazuri ya kukua kwa private sector.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Acha uongo wa mchana wewe.

Umeikoteza stori za vijiweni inakuja hapa kuchafua mtu.

Kishimba ni mfanyabiashara hodari intelligent.
 
Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.

Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.

Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.

Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Unatoa allegation bila ushaidi wowote mbaya zaidi unakuta na wewe umesoma degree ya miaka mitatu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom