Kassim Majaliwa: Wanafunzi kuna bilioni 48 zenu za mkopo

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa masomo 2023/2024 Serikali imetenga Tsh. bilioni 48 kwa ajili ya kutoa mikopo kwa Wanafunzi wa ngazi ya stashahada.

Amesema hayo leo Jumanne, Januari 16, 2024 wakati wa ufunguzi wa Chuo Kikuu Katoliki Mbeya (CUoM) Mkoani Mbeya ambapo amesema kuwa mpango huo ambao ni maono na maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan unalenga kuhakikisha elimu inayotolewa inakuwa bora na kuwezesha Wahitimu wa Vyuo nchini kujiamini na kumudu ushindani wa kitaifa na kimataifa.

“Lengo jingine la Rais Dkt. Samia ni kuona Vijana wengi wanapata elimu itakayowapa ujuzi na uwezo wa kushiriki katika ujenzi wa Taifa” PM Majaliwa amesema kuwa Serikali imetenga Dola za Kimarekani milioni moja kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) ambazo zinasomesha Wahadhiri 27 kutoka Vyuo Vikuu visivyo vya Serikali.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa masomo 2023/2024 Serikali imetenga Tsh. bilioni 48 kwa ajili ya kutoa mikopo kwa Wanafunzi wa ngazi ya stashahada.

Amesema hayo leo Jumanne, Januari 16, 2024 wakati wa ufunguzi wa Chuo Kikuu Katoliki Mbeya (CUoM) Mkoani Mbeya ambapo amesema kuwa mpango huo ambao ni maono na maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan unalenga kuhakikisha elimu inayotolewa inakuwa bora na kuwezesha Wahitimu wa Vyuo nchini kujiamini na kumudu ushindani wa kitaifa na kimataifa.

“Lengo jingine la Rais Dkt. Samia ni kuona Vijana wengi wanapata elimu itakayowapa ujuzi na uwezo wa kushiriki katika ujenzi wa Taifa” PM Majaliwa amesema kuwa Serikali imetenga Dola za Kimarekani milioni moja kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) ambazo zinasomesha Wahadhiri 27 kutoka Vyuo Vikuu visivyo vya Serikali.
kampeni hizo
 
Hizo pesa ni peanuts, tu, kwa, miaka minne, MTU mmoja anahitaji at least 33M! Hizo, pesa, zinatosha wanafunzi 1400! Kwa miaka 4,Tu wakati chuo kimoja, kinaweza kuwa na wanafunzi 200 wanaosoma degree mbali mbali, vyuo vitano tu, huo mpunga, umeisha,! Tuna vyuo vingi Sana,
DIT,UD, Udom,MIST, DMI! Hapo hujataja vyuo vya afya! Vyuoni kuna wanadunzi, zaidi ya 5000+, unahitaji, zaidi ya bilioni 165!
Serikali iuze ma v8 yote, kuanzia kwa, ma, RC kushuka chini, itenge at least tilioni moja, vijana wapige shule kwa Amani, bila, mawazo,
Usome kwa stress, harafu uingie kitaa kutafuta ajira kwa stress! https://jamii.app/JFUserGuide no! Watoto wapewe mpunga wote, tuition fee, 100%, boom 20K per day, field, research, accommodation, wanafunzi wote, wakae hostel, sekta binafsi ipewe nafasi kuwekeza kwenye hostel,
 
Back
Top Bottom