DOKEZO Mbunge wa Igalula Venant Protas, tumia fedha za mfuko wa jimbo kusambaza umeme vijijini. Acha kununua pikipiki na kukopesha kupata faida binafsi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,533
17,456
Wewe! Wewe Makinika!

Wanyamwezi wa jimbo la Igalula sio wajinga!wanaziona sarakasi zako!

Tumia akili

Serikali imejitahidi kufikisha umeme vijijini Sasa ni jukumu lako kuhakikisha unasambazwa kwa wapiga kura wako!KUTUMIA mfuko wa jimbo anza kwenye vijiji ambavyo TAYARI umeme ushafika lakini wananchi walio wengi bado hawajaingiziwa na NGUZO za umeme zipo mbali sana!

Shirikiana na TANESCO halmashauri ya UYUI kwenye hili,usisingizie eti Bajeti ya serikali haijafika Hadi mwaka wa fedha ujao wakati kuna fedha za mfuko wa Jimbo!!

Kama ukizitumia vema fedha hizo zitakuvusha na mimi nakazia lazima ilani ya chama itekelezwe kwa wananchi ipasavyo!

ACHA , ACHA, ACHA kuzitumia kununua Mapikipiki na kukopesha vijana KWA faida Binafsi wakati hao vijana wangepata umeme wangejiajiri Sana kupitia huo umeme! UMEME ni fursa kubwa kuliko vipikipiki Hivyo!!

Jitahidi kuonyesha wanaigalula walichagua jembe na sio popoma!

Kata kama za mpyagula,Loya,Lutende na nyinginezo wananchi hawana umeme NGUZO hamna hata taasisi za serikali hazina umeme wakati zinahudumia wapiga kura wako!! taasisi kama mashule,kituo cha polisi Loya na nyinginezo BADO hazina umeme!

Shirikiana na madiwani wa kata hizo wananchi wafanye wiring Ili waingiziwe umeme!Pambania na TANESCO UYUI Hadi kieleweke NGUZO zifike!!

Fanya hivi utanishukuru Baadae kwasababu jimbo la Igalula lina historia ya kuwatema WABUNGE wake wanapowania awamu ya pili!muulize Mfutakamba na Musa ntimizi watakuambia!!

Tekeleza ilani ya chama kwa fedha za mfuko wa jimbo ili chama kije kukupigania!

Wazee wamenifikishia nimekuarifu!fanyia KAZI!!

Mungu ibariki TANZANIA, libariki jimbo la Igalula!
 
Wewe! Wewe Makinika!!

Wanyamwezi wa jimbo la Igalula sio wajinga!wanaziona sarakasi zako!

Tumia akili

Serikali imejitahidi kufikisha umeme vijijini Sasa ni jukumu lako kuhakikisha unasambazwa kwa wapiga kura wako!KUTUMIA mfuko wa jimbo anza kwenye vijiji ambavyo TAYARI umeme ushafika lakini wananchi walio wengi bado hawajaingiziwa na NGUZO za umeme zipo mbali sana!



Shirikiana na TANESCO halmashauri ya UYUI kwenye hili,usisingizie eti Bajeti ya serikali haijafika Hadi mwaka wa fedha ujao wakati kuna fedha za mfuko wa Jimbo!!

Kama ukizitumia vema fedha hizo zitakuvusha na mimi nakazia lazima ilani ya chama itekelezwe kwa wananchi ipasavyo!


ACHA , ACHA, ACHA kuzitumia kununua Mapikipiki na kukopesha vijana KWA faida Binafsi wakati hao vijana wangepata umeme wangejiajiri Sana kupitia huo umeme! UMEME ni fursa kubwa kuliko vipikipiki Hivyo!!



Jitahidi kuonyesha wanaigalula walichagua jembe na sio popoma!

Kata kama za mpyagula,Loya,Lutende na nyinginezo wananchi hawana umeme NGUZO hamna hata taasisi za serikali hazina umeme wakati zinahudumia wapiga kura wako!! taasisi kama mashule,kituo cha polisi Loya na nyinginezo BADO hazina umeme!

Shirikiana na madiwani wa kata hizo wananchi wafanye wiring Ili waingiziwe umeme!Pambania na TANESCO UYUI Hadi kieleweke NGUZO zifike!!


Fanya hivi utanishukuru Baadae kwasababu jimbo la Igalula lina historia ya kuwatema WABUNGE wake wanapowania awamu ya pili!muulize Mfutakamba na Musa ntimizi watakuambia!!

Tekeleza ilani ya chama kwa fedha za mfuko wa jimbo ili chama kije kukupigania!


Wazee wamenifikishia nimekuarifu!fanyia KAZI!!

Mungu ibariki TANZANIA, libariki jimbo la Igalula!
Kumbe Igalula Pana mbunge🙃🙃
 
Haya asikie
Huyu jamaa anaonekana amekata tamaa hana mipango ya kuliendeleza jimbo hili!

Yeye anahangaika na watu wanaogombea nafasi NDANI ya CHAMA na kujenga mabifu KWA figisu akitaka team ya watu wake ndio ipite KWA kuwashinikiza wasimamizi wa uchaguzi ndani ya chama waahirishe uchaguzi kama timu ya watu wake haijashinda akimtumia makoba yule mwenyekiti wa ccm UYUI wakipambana Sana Musa ntimizi!!hajui KAZI anazofanya Jimboni ndio zitambeba na sio timu yake!!

Amekalia tu kujenga vituo vya mafuta PEKEE na kuwakopesha Mapikipiki vijana ili apige cha juu!!

Anapotea Njia!!
 
Kumbe Igalula Pana mbunge🙃🙃
Yupo Mkuu

Huyu venant Protas,anatumia umbumbu wa wanyamwezi waliowengi kuwapiga KWA kuwahonga kahawa!!

Huyu mhaya wa Bukoba hajui vijana wa kinyamwez wameshasoma na wana akili ya kutafakari ndio maana wanatoa taarifa KWA mamlaka za Chama ili kumuumbua KWA sarakasi zake HIZI!!
 
Fedha za mfuko wa jimbo zinaingizwa katika halmashauri na sio fedha binafsi. Kwa hiyo mjiridhishe kwenye mapato ya halmashauri kama fedha hizo zimefika ili mpambane na mbunge wenu
 
Yupo Mkuu

Huyu venant Protas,anatumia umbumbu wa wanyamwezi waliowengi kuwapiga KWA kuwahonga kahawa!!

Huyu mhaya wa Bukoba hajui vijana wa kinyamwez wameshasoma na wana akili ya kutafakari ndio maana wanatoa taarifa KWA mamlaka za Chama ili kumuumbua KWA sarakasi zake HIZI!!
Duh!!

Uswahili na uvivu umeleta mkwamo wa kiuchumi Mkoa wa Tabora.

Inahitajika nguvu ya ziada kuukwamua Hali hiyo.

Ameeen.
 
Wewe! Wewe Makinika!!

Wanyamwezi wa jimbo la Igalula sio wajinga!wanaziona sarakasi zako!

Tumia akili

Serikali imejitahidi kufikisha umeme vijijini Sasa ni jukumu lako kuhakikisha unasambazwa kwa wapiga kura wako!KUTUMIA mfuko wa jimbo anza kwenye vijiji ambavyo TAYARI umeme ushafika lakini wananchi walio wengi bado hawajaingiziwa na NGUZO za umeme zipo mbali sana!



Shirikiana na TANESCO halmashauri ya UYUI kwenye hili,usisingizie eti Bajeti ya serikali haijafika Hadi mwaka wa fedha ujao wakati kuna fedha za mfuko wa Jimbo!!

Kama ukizitumia vema fedha hizo zitakuvusha na mimi nakazia lazima ilani ya chama itekelezwe kwa wananchi ipasavyo!


ACHA , ACHA, ACHA kuzitumia kununua Mapikipiki na kukopesha vijana KWA faida Binafsi wakati hao vijana wangepata umeme wangejiajiri Sana kupitia huo umeme! UMEME ni fursa kubwa kuliko vipikipiki Hivyo!!



Jitahidi kuonyesha wanaigalula walichagua jembe na sio popoma!

Kata kama za mpyagula,Loya,Lutende na nyinginezo wananchi hawana umeme NGUZO hamna hata taasisi za serikali hazina umeme wakati zinahudumia wapiga kura wako!! taasisi kama mashule,kituo cha polisi Loya na nyinginezo BADO hazina umeme!

Shirikiana na madiwani wa kata hizo wananchi wafanye wiring Ili waingiziwe umeme!Pambania na TANESCO UYUI Hadi kieleweke NGUZO zifike!!


Fanya hivi utanishukuru Baadae kwasababu jimbo la Igalula lina historia ya kuwatema WABUNGE wake wanapowania awamu ya pili!muulize Mfutakamba na Musa ntimizi watakuambia!!

Tekeleza ilani ya chama kwa fedha za mfuko wa jimbo ili chama kije kukupigania!


Wazee wamenifikishia nimekuarifu!fanyia KAZI!!

Mungu ibariki TANZANIA, libariki jimbo la Igalula!
Neno zuri. Wasalimie Ng'hwala mpaka Bhutuja bila kuacha Mtakuja.
 
Wewe! Wewe Makinika!!

Wanyamwezi wa jimbo la Igalula sio wajinga!wanaziona sarakasi zako!

Tumia akili

Serikali imejitahidi kufikisha umeme vijijini Sasa ni jukumu lako kuhakikisha unasambazwa kwa wapiga kura wako!KUTUMIA mfuko wa jimbo anza kwenye vijiji ambavyo TAYARI umeme ushafika lakini wananchi walio wengi bado hawajaingiziwa na NGUZO za umeme zipo mbali sana!



Shirikiana na TANESCO halmashauri ya UYUI kwenye hili,usisingizie eti Bajeti ya serikali haijafika Hadi mwaka wa fedha ujao wakati kuna fedha za mfuko wa Jimbo!!

Kama ukizitumia vema fedha hizo zitakuvusha na mimi nakazia lazima ilani ya chama itekelezwe kwa wananchi ipasavyo!


ACHA , ACHA, ACHA kuzitumia kununua Mapikipiki na kukopesha vijana KWA faida Binafsi wakati hao vijana wangepata umeme wangejiajiri Sana kupitia huo umeme! UMEME ni fursa kubwa kuliko vipikipiki Hivyo!!



Jitahidi kuonyesha wanaigalula walichagua jembe na sio popoma!

Kata kama za mpyagula,Loya,Lutende na nyinginezo wananchi hawana umeme NGUZO hamna hata taasisi za serikali hazina umeme wakati zinahudumia wapiga kura wako!! taasisi kama mashule,kituo cha polisi Loya na nyinginezo BADO hazina umeme!

Shirikiana na madiwani wa kata hizo wananchi wafanye wiring Ili waingiziwe umeme!Pambania na TANESCO UYUI Hadi kieleweke NGUZO zifike!!


Fanya hivi utanishukuru Baadae kwasababu jimbo la Igalula lina historia ya kuwatema WABUNGE wake wanapowania awamu ya pili!muulize Mfutakamba na Musa ntimizi watakuambia!!

Tekeleza ilani ya chama kwa fedha za mfuko wa jimbo ili chama kije kukupigania!


Wazee wamenifikishia nimekuarifu!fanyia KAZI!!

Mungu ibariki TANZANIA, libariki jimbo la Igalula!
Nilikuona wa maana, kumbe ni mpuuzi kama si mpumbavu, tangu lini pesa za mfuko wa jimbo zihusike kusambaza umeme (REA) inafanya kazi gani, unaelewa lakini kitu kinachoitwa mfuko wa jimbo?Acha WIVU wewe fanya kazi hata kubebe magunia kwenye masoko acha kufuatilia ya wanaume wenzako.Tafuta pesa.
 
Nilikuona wa maana, kumbe ni mpuuzi kama si mpumbavu, tangu lini pesa za mfuko wa jimbo zihusike kusambaza umeme (REA) inafanya kazi gani, unaelewa lakini kitu kinachoitwa mfuko wa jimbo?Acha WIVU wewe fanya kazi hata kubebe magunia kwenye masoko acha kufuatilia ya wanaume wenzako.Tafuta pesa.
Fedha za mfuko wa jimbo si za maendeleo ya jimbo!!?au ni fedha Binafsi!!?zikitumika kusambaza umeme KWA wananchi ni kosa ganinla kisheria atakuwa anafanya!!?si Bajeti tu!!

Halafu umeme sio wa REA ni wa grid ya Taifa kama imeshafika vijiiji husika na Bajeti ya kuwa sambazia wananchi BADO Hadi mwaka wa fedha ujao!!?

Ni kosa kisheria!?wivu wa Nini unaozungumzia!?ina Maana wananchi wakose UMEME kisa Bajeti BADO na mfuko wa jimbo upo unafanya nini zaidi ya maendeleo ya jimbo lake!!?


Mapopoma ni WENGI Sana
 
Nilikuona wa maana, kumbe ni mpuuzi kama si mpumbavu, tangu lini pesa za mfuko wa jimbo zihusike kusambaza umeme (REA) inafanya kazi gani, unaelewa lakini kitu kinachoitwa mfuko wa jimbo?Acha WIVU wewe fanya kazi hata kubebe magunia kwenye masoko acha kufuatilia ya wanaume wenzako.Tafuta pesa.
Nimesoma na nimeelewa ninfedha za Jimbo sio za mtu Binafsi!

Kama serikali omelets umeme wa grid ya Taifa kwenye kata lakini Bajeti ya kusambaza kwa wananchi haijatoka Hadi mwakani ina Maana kamati inaweza ikakaa ikafanya re-alacation ya hizo fedha ikawaambia wananchi bwafanye wiring majumbani TANESCO UYUI ikashirikiana na Mbunge kusambaza NGUZO vijijini na watu wakapata UMEME ukawa na tija KWA TANESCO na WANANCHI inawezekana!!

Program ya kununua pikipiki na kuzikopesha sio matumizi sahihi BADO ya fedha hizo!

Labda kama ni kula KWA urefu wa kamba ale tu,lakini serikali imefikisha umeme wa grid ya Taifa lakini haujasambazwa KWA wananchi Hadi Bajeti itoke Sasa Lini itatoka!!?huoni wakisambaza UMEME MAPATO yataongezeka kw TANESCO na kuchochea MAENDELEO kuliko boda boda!!?


Ni fedha za jimbo sio majani ya chai hayo ni fedha Fedha ziwatumikie WANANCHI!!
 
Back
Top Bottom