Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Mwonekano wa Mbunge huku katika nafasi ambayo waalikwa katika hafla na mkutano huo ni wabunge wa CCM, hali ikionyehsa Mbunge wa Chadema kuandamana na uongozi wa juu wa CCM makamu mwenyekiti bara Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa CCm inaweza kutoa tafsiri yenye tashwira ya Shibuda kuwa damudamu na CCM na kwamba amesharudi na hapo alikuwa anatambulishwa.