WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Mkuu tz1, umeongea point safi sana!! Dr Dr hajafurahia hata kidogo kwa huyu bwana kujipendekeza kwake hapo. Dr Dr mwenyewe ni CDM damu damu, nani asiyejua 2005 Dr Dr alikuwa atimkie CDM kama CCM wangemtosa kwenye kura za maoni? Ni muda tu ndo utasema yote.Hiyo picha inaonekana Dr Dr hakupenda uwepo wake body language inajieleza