Una uhakika hiyo picha ni jana kweli?amini usiamini,ni jana Kikwete alipotua Dom kwa ajili ya vikao vya NEC,alipokelewa na makada wa CCM na kusalimiana nao.Nilishanga uwepo na kusalimiana na shibuda wakati wote walokuwepo hapo ni kadas wa ccm na kikwete amekuja dom kwa vikao vya kichamaView attachment 41703
Tumbiri a.k.a Ngedere naona umerudi kwa kasi.Zitto nae alikuwepo au??
Alishatoa angalizo muda mrefu sana juu ya kurejea kwake jukwaani.Tumbiri a.k.a Ngedere naona umerudi kwa kasi.
Duuuuh kuna watu wengine wanapenda kweli kujiingiza kwenye visanga visivyo na tija.Hiyo ni ya kweli, iko pia kwenye michuzi blog na Shibuda anaonekana kuwa viongozi wengine wa ccm! Kama CCM bado kinamtegemea Shibuda ili awasaidie kupambana na CHADEMA basi CCM ni wagonjwa kuliko tunavyodhani.
KIKWETE ni Rais wanchi na Shibuda ni Mbunge wa jimbo la Maswa, wakisalimiana kuna ubaya gani, au kupeana mkono kunambadilisha kuwa CCM? Some times when you have nothing to say in your mind usilazimisha kuzungumza ulilonalo katika masaburi yako.amini usiamini,ni jana Kikwete alipotua Dom kwa ajili ya vikao vya NEC,alipokelewa na makada wa CCM na kusalimiana nao.Nilishanga uwepo na kusalimiana na shibuda wakati wote walokuwepo hapo ni kadas wa ccm na kikwete amekuja dom kwa vikao vya kichamaView attachment 41703
Ameongoza sala leowapi PAPAA MCHUNGAJI MTIKILA?