Asante kwa kutonya kosa hilo, labda nitoe utetezi dhaifu kwamba key board iliteleza ingawa si kwaida kuteleza kwa kiwango hicho labda zaidi ni lile tatizo la"double check or to over look my post before posting." Isomeke: Mbunge wa Chadema John Shibuda.Mbona maelezo chini ya hiyo picha yanasema "Mbunge wa CCM John Shibuda"? sasa tunajiuliza nini hapa?
mkuu mbona unadhana hivo.... kuna tatizo la kumsalimia RAIS WA TANZANIA
Moyo wa Shibuda upo CCM kama ilivyo kwa asilimia kubwa ya wabunge wa CDM. Wametumia CDM kupata chance ya kuingia bungeni baada ya kukosa nafasi hiyo ndani ya CCM
hii picha ya zamani sana.mia
Alifuata wali na nyama, sio kikao
We kweli kenge mumaji, Kikwete kaja kwa shughuli za kichama, na anakutana na makada wote ndani ya NEC na halm kuu,hata mkuu wa mkoa na wilaya hakuwepo hapo,halafu hushangazwi na uwepo wa shibuda ktk tukio hilo.Huna uwezo wa ku analyze wala ku-reason, unakuja na matusi jukwaani,angalia utapigwa mtungo wewe.KIKWETE ni Rais wanchi na Shibuda ni Mbunge wa jimbo la Maswa, wakisalimiana kuna ubaya gani, au kupeana mkono kunambadilisha kuwa CCM? Some times when you have nothing to say in your mind usilazimisha kuzungumza ulilonalo katika masaburi yako.
hiyo jana **** wewe
Thank you jabulani for this useful post.
Mlimpa ticket ya Chademu kwa sababu mlikuwa desperate na viti vya ubunge ili proportionality ya POSHO i-balance, sasa mnalalamika nini?
Shibuda ni snitch tu, anatafuta nini kwenye vikao vya magamba..kama sio unafiki na uchochezi.