King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,837
- 69,026
Sijui uko wapi. Wewe unajua ulipo ?Huo mkataba uko wapi ?
Huo mkataba upo wapi?
Najuwa 👇🏾Sijui uko wapi. Wewe unajua ulipo ?
Unasema ili kumchafua Samia? Kwamba yeye hana akili? Why alikubali? Watanzania wengi wenu ni wanyama.MBUNGE, Rashid Shangazi anatajwa kuwa ndiye Dalali wa Kampuni ya DP World inayotaka kuuziwa bandari zote Tanzania isipokuwa za Zanzibar tu, Shangazi alianza kuipigia debe na baadaye kuwaleta nchini na kukamilisha hiyo dili ambalo limezua mgogoro mkubwa Tanzania.
Ushahidi wa ni SWALI NA 58 LA TAREHE 4 NOVEMBA, 2022 ambapo kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge, Mbunge huyo aliuliza
"58. MHESHIMIWA RASHID ABDALLAH SHANGAZI (MLALO) :Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi: Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa Kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza"
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi( ATUPELE MWAKIBETE ALIJIBU NAKUU)
United Republic of Tanzania
Primary Questions
MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza: -
Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza?
Answer
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI (MHE. ATUPELE F. MWAKIBETE) alijibu: -
Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo, kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, mwezi Februari 2022 Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ilisaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Kampuni ya Dubai Port World (DP-World) ya Umoja wa Falme za Kiarabu, kuhusu uwekezaji katika maeneo ya bandari nchini. Aidha, tarehe 25 Oktoba, 2022 Serikali ilisaini makubaliano na Serikali ya Dubai (Inter-Governmental Agreement - IGA).
Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mkataba wa kibiashara unakwenda katika hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ni mkataba kati ya nchi na nchi (Intergovernmental Agreement - IGA) ambao tayari umesainiwa. Mkataba huo unaweka msingi wa Serikali za pande mbili kuanza majadiliano kuhusu maeneo ya uwekezaji.
Baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, majadiliano yataendelea kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kuhakikisha kwamba uwekezaji huo unakuwa na tija kwa nchi. Matarajio ya Serikali ni kuwa majadiliano hayo yatafikia tamati mwishoni mwa mwezi Desemba, 2022.
Mwisho wa Kunukuu.
Hivyo basi Watanzania tusimtafute mchawi wa suala hili kwani aliyeileta kampuni hii na kuipenyeza serikalini ni Mhe. Shangazi ambaye ni Katibu wa Wabunge wa CCM ambaye ametumia ushawishi wake alionao ndani ya Chama na Serikali kuileta kampuni hii na kumchafua Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Mbunge Shangazi ni Mbunge wa Mkoa wa Tanga amepigia debe ili bandari zote ziuzwe kwa kampuni hiyo ambayo inasemekana yeye wadau wake wamepewa donge nono kuhakikisha kampuni hiyo inanunua bandari zote na kuendesha kwa miaka isiyojulikana.
View attachment 2649962
Rashid Shangazi- Mbunge wa Mlalo
Kwani TAKURURU wao siyo zao la mfumo huu huu wa kifisadi? Kwani wao wameshushwa kutoka Sweden, Finland au Denmark? Si ajabu ndo walitoa assurance kwa watia sahihi kuwa hakuna kitakachoharibika!Takukuru walienda kule Dubai au wao hawakwenda?
Nahisi kuna mgao pia huko Takukuru
Unasema ili kumchafua Samia? Kwamba yeye hana akili? Why alikubali? Watanzania wengi wenu ni wanyama.
Sitaki kuingia mgogoro na hivi vyombo vyetu lakini wanachokifanya wanakijua wao wenyewe!!Takukuru walienda kule Dubai au wao hawakwenda?
Nahisi kuna mgao pia huko Takukuru
Huo mkataba uko wapi?Kwani TAKURURU wao siyo zao la mfumo huu huu wa kifisadi? Kwani wao wameshushwa kutoka Sweden, Finland au Denmark? Si ajabu ndo walitoa assurance kwa watia sahihi kuwa hakuna kitakachoharibika!
Tufanyeje sasa ili nchi iokolewe?Kwani TAKURURU wao siyo zao la mfumo huu huu wa kifisadi? Kwani wao wameshushwa kutoka Sweden, Finland au Denmark? Si ajabu ndo walitoa assurance kwa watia sahihi kuwa hakuna kitakachoharibika!
NimefutaHuyu 2025 tunatoka naye.
Muache alambe asali kwa mara ya mwisho
Hakuna la kufanya. Ukijifanya kimbelembele utaitwa mwendazake ASAP. Jali familia yako. Hakikisha wana mahitaji muhimu. Epuka siteresi. Ishi maisha yako!Tufanyeje sasa ili nchi iokolewe?
Baada ya JPM kuondoka Kingmakers wote washajikusanya + Deal Makers; na ni kweli ni ubunifu wa hali ya juu, maana Bandari ni moneymaker; kashelf company kameanzishwa Mauritius hao wote wamepata Share zao watakula mgao milele - SASA ndiyo mtajua yule bwana alikuwa katili kwa nini!!MBUNGE, Rashid Shangazi anatajwa kuwa ndiye Dalali wa Kampuni ya DP World inayotaka kuuziwa bandari zote Tanzania isipokuwa za Zanzibar tu, Shangazi alianza kuipigia debe na baadaye kuwaleta nchini na kukamilisha hiyo dili ambalo limezua mgogoro mkubwa Tanzania.
Ushahidi wa ni SWALI NA 58 LA TAREHE 4 NOVEMBA, 2022 ambapo kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge, Mbunge huyo aliuliza
"58. MHESHIMIWA RASHID ABDALLAH SHANGAZI (MLALO) :Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi: Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa Kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza"
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi( ATUPELE MWAKIBETE ALIJIBU NAKUU)
United Republic of Tanzania
Primary Questions
MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza: -
Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza?
Answer
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI (MHE. ATUPELE F. MWAKIBETE) alijibu: -
Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo, kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, mwezi Februari 2022 Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ilisaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Kampuni ya Dubai Port World (DP-World) ya Umoja wa Falme za Kiarabu, kuhusu uwekezaji katika maeneo ya bandari nchini. Aidha, tarehe 25 Oktoba, 2022 Serikali ilisaini makubaliano na Serikali ya Dubai (Inter-Governmental Agreement - IGA).
Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mkataba wa kibiashara unakwenda katika hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ni mkataba kati ya nchi na nchi (Intergovernmental Agreement - IGA) ambao tayari umesainiwa. Mkataba huo unaweka msingi wa Serikali za pande mbili kuanza majadiliano kuhusu maeneo ya uwekezaji.
Baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, majadiliano yataendelea kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kuhakikisha kwamba uwekezaji huo unakuwa na tija kwa nchi. Matarajio ya Serikali ni kuwa majadiliano hayo yatafikia tamati mwishoni mwa mwezi Desemba, 2022.
Mwisho wa Kunukuu.
Hivyo basi Watanzania tusimtafute mchawi wa suala hili kwani aliyeileta kampuni hii na kuipenyeza serikalini ni Mhe. Shangazi ambaye ni Katibu wa Wabunge wa CCM ambaye ametumia ushawishi wake alionao ndani ya Chama na Serikali kuileta kampuni hii na kumchafua Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Mbunge Shangazi ni Mbunge wa Mkoa wa Tanga amepigia debe ili bandari zote ziuzwe kwa kampuni hiyo ambayo inasemekana yeye wadau wake wamepewa donge nono kuhakikisha kampuni hiyo inanunua bandari zote na kuendesha kwa miaka isiyojulikana.
View attachment 2649962
Rashid Shangazi- Mbunge wa Mlalo
watu wameshaanza utekelezaji wewe unauliza mkataba, tunajua haikusumbui kwa sababu ya udini wakoHuo mkataba uko wapi?
Na wewe ndivyo ufanyavyo?Hakuna la kufanya. Ukijifanya kimbelembele utaitwa mwendazake ASAP. Jali familia yako. Hakikisha wana mahitaji muhimu. Epuka siteresi. Ishi maisha yako!
Uko kwa simba mchambawimaHuo mkataba uko wapi?
Fei toto yuko wapi?Uko kwa simba mchambawima