Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Mungu anawaonya wanatumia maumivu ya watu wengine Kama kichaka Cha kujificha,au kutafuta kiki za kisiasa watakufa mdomo angali hu wazi, sio desturi ,kwamba kumkebehi mtu kisa kutafuta kiki za kisiasa,ijulikane mh Mbowe Hana njaaa,ukoo wake hauna njaa, na mzeee wake hakua na njaa that's wajuhao ukoo huu ,wanaelewa, ulizeni wazee, sio leo wakurupuka kisa upo bungeni una charaza ndomo Kama vile wahijua family ya Mbowe, mnajitafutia lahana bure, na mtakufa midomo ipo wazi ,shauri zenu, fanya maisha yenu ya kibungu hachana na maisha ya anasa,kila kitu kupotosha
 
Kutoka BUNGENI: BIASHARA ZA MBOWE HAZIJAFUNGWA NA SERIKALI, ALIDANGANYA WATANZANIA

Ukweli ni kuwa biashara anazozifanya Freeman Mbowe ni za urithi na alikuwa anazifanya kwa dhuluma bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani kushinikiza mgawanyo sawa wa Haki
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Kwani haya ndio aliyoyasema Mbowe ? Hivi wabunge wa viti maalum wa ccm wanapatikanaje ? huyu zaidi ya kujua kusoma na kuandika na mambo yale mengine sidhani kama anajua kingine .
 
Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.

Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
Alifikiri ni gari kumbe Land Rover, 😂
 
Historia inaendelea kujiandika Bunge la hovyo kuwahi kutokea duniani,Kwa nini Mbowe anawaumiza vichwa CCM?
 
Inasikitisha badala ya kujadili hoja za msingi jimboni kwake au kitaifa anamjadili mbowe ambae ana mafanikio tayari kibiashara na kisiasa kuliko yeye

Halafu mwisho wa mwezi anachukua Milioni 12 au 22 za walipa kodi
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Au mimi ndio sielewi. Billcanas ilichukuliwa au ilivunjwa? Kulikuwa na ulazima wa kuivunja iwapo alikuwa halipi kodi? Ok, nimepanga nyumba nzima. Mwisho wa mkataba nikashindwa kuongeza kodi. Mwenye nyumba atanitimua au atavunja nyumba? Kati ya mimi na yeye nani atabaki na hasara?
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Huyu ni mbunge wa jimbo gani? Aende akapunguze tumbo kwañza, je ana ndoa?
 
Au mimi ndio sielewi. Billcanas ilichukuliwa au ilivunjwa? Kulikuwa na ulazima wa kuivunja iwapo alikuwa halipi kodi? Ok, nimepanga nyumba nzima. Mwisho wa mkataba nikashindwa kuongeza kodi. Mwenye nyumba atanitimua au atavunja nyumba? Kati ya mimi na yeye nani atabaki na hasara?
Wabunge wa CCM ni hasara tupu wana reasoning ndogo sana
 
Sasa Kama biashara za familia tu wanapelekana mahakamani kisa hakuna marejesho unategemea huyo mtu kuwa na huruma na serikali? Kweli!!!
Kuna biashara za familia na zake mwenyewe, anaongelea biashara zake, akaunti zake.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, ebo!!
 
Sasa Kama biashara za familia tu wanapelekana mahakamani kisa hakuna marejesho unategemea huyo mtu kuwa na huruma na serikali? Kweli!!!
Si bora huyo ambaye familia ina demokrasia wanaweza kujadili mambo yao kwa uwazi kuliko yule aliyekuwa anaweka ndani mpaka baba wadogo na wajomba kugombea ardhi eti kwa vile yeye waziri wa ujenzi!
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.

Hilo nungayembe limepewa taarifa za kubumba na Cyprian Musiba.
 
Back
Top Bottom