Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,871
unakumbuka mmoja alichangia ana nyumba kanunuliwa na mh mmoja ana kitambi akatuacha kwwenye mabano akasema ana kitambii kweli kweli naona wenye macho wameonamkuu ni siku nyingi sana yuko nacho amekuwa nacho mwaka 2007 na anakakunguta kule pugu ...kuna loji moja na kwingine mbagala rangi tatu na akijisikia anakujaga mbezi ya kimarainasemekana mh. Mbunge komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "lulu" kwa muda mrefu.
Kama kweli lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....