Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Ni swali gumu sana. Kwa ufupi huyu si mbunge maana hakuapishwa hivyo hayupo kwenye jurisdiction ya speaker. Hivyo wala speaker hatatangaza jimbo li wazi ila tu tume ya uchaguzi itaitisha uchaguzi mpya. jamani vita ya Arumeru itakuwa balaa
Someni KATIBA ya JMT imo humu JF.
 
nilisikia muda mrefu kuwa yu mgonjwa lakini sikusikia kama aliwahi kupelekwa india kwa matibabu kama wenzie................. Hivi kumbe kupelekwa india kwa matibabu inategemea na nafasi uliyo nayo serikalini!
Mungu amlaze mahali pema peponi...............amina
rip bwana sumari

alipelekwa
na alirudishwa kimya
kimya
 
Mkuu inamaana ccm watalazimika kumwangukia tena EL ili waokoe jimbo?Huu ndiyo utakuwa mwisho wa neno "kujivua gamba"kusikika ndani ya ccm na mtaji kwa cdm kuelekea 2015
Hawana jinsi. CHAMA walishakigawana hiki. Na NCHI pia wanamalizia kugawana.
 
R.I.P. Mzee Sumari
Tunatarajia upendo ulioonyeshwa na wana ccm kwenye mazishi ya dada Regia tutauona kwa wanachedema pia kwenye msiba huu!

Bila wasiwasi mkuu tumeshasogea mitaa ya home kwa Mh kujua utaratibu, pamoja kwa shida pamoja kwa raha tofauti kwenye Ufisadi tu!!
 
Poleni wafiwa, mtoto wake wa kiume nadhani kaowa kwa lowasa? au vinginevyooooo...

Ni kweli Mwanaye ameoa kwa EL na ni huyu aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha,Poleni sana Wafiwa.Hili gonjwa la uvimbe wa Ubongo naona sasa limejenga makazi hapa Bongo, watu wananyatu kimya kimya kwa idadi ambayo kama ingewekwa wazi ni Namba ya kutisha.Eh MUNGU tutachomokea corner ipi !!!!!
 
hata sisi mbunge wetu ni labda ni marehemu. Sijawahi kumwona tangu aapishwe.

hahahahaaa
hata akisinzia
mjengoni bado?
Hujamtia machoni?
Khaaaa hakuna haja
ya kujihesabia kuwa
kuna mbunge jimbon
mwako,
 
Poleni wafiwa, mtoto wake wa kiume nadhani kaowa kwa lowasa? au vinginevyooooo...

HAPO SASA? Ubunge wenyewe hajauhalalisha kaongezewa na unaibu waziri, KATIBA MPYA INAHITAJIKA HARAKA SANA

Alikuwa Naibu Waziri Katika Awamu ya Kwanza ya JK, hebu sasa tuwe makini na taarifa zinazolihusu Taifa letu.Kama unashindwa kujua nani ni nani katika ngazi kubwa kama hiyo ya Naibu Waziri wa Fedha hilo nalo ni janga la kitaifa.
 
chadema naona wanafurahia sana vifo vya wenziwao, hata hii michango inaonyesha jinsi gani chadema walivyokaa kitumbo tumbo tu
Lala salama JEREMIA!, MUNGU WA Israel ambaye ndio mungu Ibrahim na Mungu wa Isaka atakufufua siku ya Mwisho!
 
Ms acha majungu watu wanaomboleza
tumwache apunzike kwa amani,hata wanaCCM hapo wanakenua meno kuanza mchakato wa
kugawa vitenge,bia na pilau ili wapitishwe kugombea hiyo nafasi.
hakuna anefurahia kifo ila linapokuja swala la kufa kufaana hapo ndio utajua ubinadamu ukoje.
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake libarikiwe.

Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki. Bwana awafariji wote.
 
Back
Top Bottom