benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CHADEMA) amemlipua Rais Magufuli wakati akichangia hoja bungeni hii bungeni hii leo akieleza kuwa amefanya vyema kwa namna alivyoliongoza taifa tangu alivyopokea kwenye mazingira magumu mpaka hapa tulipofika hii leo.
Pia alisema Rais Samia ameweza kuimainisha jamii kuwa hata Mwanamke anaweza kuwa kiongozi kama ilivyo kwa Mwananume
Hata hivyo Aida ameeleza kuwa Rais Samia anapongezwa kwa kukuza Demokrasia lakini je aliyebomoa na kuharibu hiyo demokrasia ni nani, aliyezuia mikutano ya hadhara ni nani ambapo wabung walishangilia pale ilipoondolewa kwa kupiga makofi, hivyo ni vyema Bunge lijue linasimama wapi?
Aida amepongeza kuwa maridhiano yanayoendelea yana afya kwa Taifa ni jukumu la Bunge kufanya kazi na kusimama imara kumsaidia Mheshimiwa Rais bila unafiki
Tazama video kwa urefu:
Pia alisema Rais Samia ameweza kuimainisha jamii kuwa hata Mwanamke anaweza kuwa kiongozi kama ilivyo kwa Mwananume
Hata hivyo Aida ameeleza kuwa Rais Samia anapongezwa kwa kukuza Demokrasia lakini je aliyebomoa na kuharibu hiyo demokrasia ni nani, aliyezuia mikutano ya hadhara ni nani ambapo wabung walishangilia pale ilipoondolewa kwa kupiga makofi, hivyo ni vyema Bunge lijue linasimama wapi?
Aida amepongeza kuwa maridhiano yanayoendelea yana afya kwa Taifa ni jukumu la Bunge kufanya kazi na kusimama imara kumsaidia Mheshimiwa Rais bila unafiki
Tazama video kwa urefu: