johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!