johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,044
Nauliza tu katika mifumo ya Maadili ya Viongozi hii inakubalika?
Naelewa Jaji amewapiga marufuku Mbowe na Mnyika kuhudhuria kikao cha Baraza Kuu la Chadema kusikiliza Rufaa za akina Halima Mdee lakini hiyo siyo sababu ya Mbowe kuwakumbatia akina Mdee
Rushwa ina maana pana hata kama tunajifanya vipofu
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya
Naelewa Jaji amewapiga marufuku Mbowe na Mnyika kuhudhuria kikao cha Baraza Kuu la Chadema kusikiliza Rufaa za akina Halima Mdee lakini hiyo siyo sababu ya Mbowe kuwakumbatia akina Mdee
Rushwa ina maana pana hata kama tunajifanya vipofu
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya