tafiti then jadili
Senior Member
- Aug 24, 2006
- 123
- 21
No way wazee sasa mnaenda mbali?
Mnataka kusema MBOWE nae alikuwa akishiriki katika WAPUKI? Are talking the same WAPUKI ya kibaha au nimekosea manake nilipokuwa kwenye semina siku moja pale KIBAHA nikakutana na EX KIBAHA STUDENTS wakanipa habari hizi za WAPUKI sasa mnataka kusema MBOWE nae alikuwa memba?
Kwani kasomea wapi manake naona CV haisemi kasoma wapi, lini, if it was KIBAHA then tujue dates zake kama kweli alikuwa memba wa WAPUKI au la.
Duh yaani nashindwa kuamini kabisa!
Kama ni kweli, basi MBOWE na Chifupa wote watakuwa sio role models manake nashangaa magazeti hayaandiki kuhusu company alizokuwa nazo CHIFUPA before siasa na all of of a sudden kawa purer than white...
CHINGA tuambie hivi WAPUKI unayozungumzia ni ile ya KIBAHA au?
Nadhani sasa unaenda mbali kijana, slow down....hizi ni lethal sasa...
Mnataka kusema MBOWE nae alikuwa akishiriki katika WAPUKI? Are talking the same WAPUKI ya kibaha au nimekosea manake nilipokuwa kwenye semina siku moja pale KIBAHA nikakutana na EX KIBAHA STUDENTS wakanipa habari hizi za WAPUKI sasa mnataka kusema MBOWE nae alikuwa memba?
Kwani kasomea wapi manake naona CV haisemi kasoma wapi, lini, if it was KIBAHA then tujue dates zake kama kweli alikuwa memba wa WAPUKI au la.
Duh yaani nashindwa kuamini kabisa!
Kama ni kweli, basi MBOWE na Chifupa wote watakuwa sio role models manake nashangaa magazeti hayaandiki kuhusu company alizokuwa nazo CHIFUPA before siasa na all of of a sudden kawa purer than white...
CHINGA tuambie hivi WAPUKI unayozungumzia ni ile ya KIBAHA au?
Nadhani sasa unaenda mbali kijana, slow down....hizi ni lethal sasa...