Ndabita,
Ndugu yangu usitufunge kamba hapa.
Vyama wanachama wa International Democtats Union sii wote Conservative wala vina malengo sawa. No way bob, ila kuna vingi vyenye misingi ya Kidini - Christian kuliko hiyo Conservative.
Sasa swali linakuja Chadema wamesimama wapi hapa ktk kujiunga na shirikisho hilo?
QUARTZ wrote: watu wengi wanafikiri hii forum inasomwa na watanzania pekee,hawajui kuwa kuna watu wa mataifa mengine wanasoma humu kama wakenya, waganda, warwanda...mfano kunasiku nilikuta mke wa professor mbilinyi(mzungu) ameweka post yake mahali fualani.sasa wageni hawa wanapokuja kusoma humu na kuona mitazamo ya watanzania na jinsi tunavyojenga hoja ni wazi kuwa tunajiabisha.
I have read more than twice the first post introducing this topic (by Dr WHO). I still don't get the message. What is the issue here, is it CHADEMA having political partnership with Conservatives or CHADEMA pursuing similar policies as those of the Conservatives? Dr Who could you please clarify before I react to your question more sensibly?