Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Status
Not open for further replies.
Wakuu mbona munalisema sana hili gazeti kwani gazeti hili halijawahi kuandika habari za kweli?? inawezekana huandika habari ya uongo lakin hii ikawa ndio zile za kweli fuatilieni kwanza ndio mrudi tn hapa.,
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

If wishes were horses...Spinning za kitoto
 
Sijawahi kununua jambo leo, hata kama nimewahi kusoma basi labda nililiokota baada ya mtu kuliacha
 
Magazeti kama haya yanaendelea kutolewa kwa sababu wamiliki wao ni watoto wa vigogo halafu wana ukwasi wa madawa ya kulevya!

Yes Jambo leo ni wenye mzigo wa masogange, hivyo bila kusabikia ccm watakamatwa hilo gazeti ni gelesha la kutakatisha pesa zao chafu za sembe
 
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha.

Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.

Ndani ya CHADEMA, Katiba, kanuni, maadili, taratibu na miongozo ndiyo itampenda au kumchukia mtu yeyote. Si suala la mtu fulani kumpenda au kumchukia fulani.
Asante kuja kujibu on time!. Uongo hata ukisemwa mara 100, sio lazima ukanushwe mara mara 100, unaweza kuachwa ili msema uongo akishamaliza kusema mara 100, unakanushwa maea moja tuu na inatosha!. Uongo ukiachwa bila kukanushwa ndio huonekana ni ukweli!.

Pia nimeipenda hiyo ya ndani ya Chadema ni kufuata tuu sheria, taratibu na kanuni, na hapa ndipo wenye busara wote wanasubiri huo utekelezaji wa shria, taratibu na kanuni katika suala zito la Zitto.

Merry X-Mass
Pasco
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja,watanzania tu malimbuken sana tunapenda ongelea nafsi za watu,kama gazet limeandika viile y ubishe,?Babu Gongo yupo atakuja kujbu mPgo kama si kwek akikaaa kimya ndo mjue ujumbe umefka

Hata kuandika hujui..........sijui hii "Idara" yenu usaili hufanyika kwa misingi gani
 
Sijawahi kununua jambo leo, hata kama nimewahi kusoma basi labda nililiokota baada ya mtu kuliacha
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Tatizo LA bangi za kuchemsha
 
Yaani Zitto bado tu anataka kufanya kazi na wahafidhina? Bado tu anataka kufanya kazi na wenye elimu ya magumashi? Sitaki kuamini
 
Halafu mnapoamua kufanya Propaganada basi jaribuni kutumia hata kichwa kidogo.
Sio kila siku kutoa Points zenu kutokea katikati ya Makalio
mkigoma bana.
Hii ndiyo shida ya kutumia watu wajinga kufanya propaganda za kijinga kama hizi
 
Last edited by a moderator:
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha. Ndiyo strategy mpya iliyoko mtamboni? Chonganisha Mbowe na Slaa, tapeli wajumbe wa mikutano kwa kuwasainisha fomu 'feki' mkidanganya zimetoka Makao Makuu ya Chama, chonganisha wajumbe, chonganisha wanachama na chama chao, chonganisha, chonganisha, sema uongo, sambaza uongo...ndiyo strategy iliyoko mtamboni?Ndani ya CHADEMA si suala la 'mtu kutaka' wala 'mtu kupinga vikali', ni misingi kutaka na kupinga vikali. Wanaotaka chama kisimame kwenye matakwa ya mtu ndiyo wanaoeneza uongo kama huu. Lengo nini? CHADEMA kuna mgogoro! Hakuna mgogoro kuna kusimamia nidhamu na kujenga imani ya wananchi ambao wana matumaini makubwa na chama chao. Hii ya kuwachonganisha Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake mbona haijaanza leo, bado mnahisi inaweza kufanikiwa na kuzaa matunda?Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.Ndani ya CHADEMA, Katiba, kanuni, maadili, taratibu na miongozo ndiyo itampenda au kumchukia mtu yeyote. Si suala la mtu fulani kumpenda au kumchukia fulani. Hakuna kitu kama hicho. Labda kama hata walioandika hawajui maana ya 'maamuzi ya kikao'...
asante kwa taarifa,ila harakishen kukiscan hili kirusi cha kigoma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom