Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Nchaby, pole sana kijana. Achana na porojo za wapuuzi, hakuna mjumbe hata mmoja ndani ya kamati aliye tayari kutetea usaliti au utovu wa nidhamu ndani ya chama bila kujali uzito wa mhusika. Tofauti ya Chadema na CCM ni kama ya mchana na usiku respectively, if you know what I mean...that's why people love Chadema!
Huyu atakua hajui au anaongea kufurahisha mabwana zake Lumumba Mag3 hajui tu watu wanavyoipigania Chadema kwa moyo kwa ajili ya maslahibya nchi akiwemo yeye mwenyewe
Last edited by a moderator: