Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Status
Not open for further replies.
Zitto utahangaika sana, lakini nikueleze kuwa Chadema haitumii kauli ya mmtu mmoja bali Katiba ya Chama,

Tumia katiba ya chama kuishi ndani ya Chadema.

kweli Yerico

katiba ya chadema inaruhusu pia kwa Mbowe kujilipa na kufanya manunuzi
kujikopesha na kutumia ruzuku ovyo

great katiba indeed
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Jambo Leo has never been a reliable source!
Habari zinazohaririwa Lumumba haziaminiki
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwen-hmnm..m nafasi&n zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwan-h katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Bravo soon mafahari wataumizana
 
Zitto hata haisumbui Taasisi kubwa ya CDM,yeye ndo anahangaika na CDM.Jambo leo......Uhuru.....oooopz!
 
ZZK bado anaushawishi mkubwa kisiasa. kama kweli babu wa gongo kaonelea kuwa arudishiwe nyadhifa zake. mchumia tumbo Tobo lisu ataweka wapi sura kwa jinsi povu lilivyomtoka wakati wa kutoa maamuzi ya kikao kwa wanahabari?
 
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha. Ndiyo strategy mpya iliyoko mtamboni?

Chonganisha Mbowe na Slaa, tapeli wajumbe wa mikutano kwa kuwasainisha fomu 'feki' mkidanganya zimetoka Makao Makuu ya Chama, chonganisha wajumbe, chonganisha wanachama na chama chao, chonganisha, chonganisha, sema uongo, sambaza uongo...ndiyo strategy iliyoko mtamboni?

Ndani ya CHADEMA si suala la 'mtu kutaka' wala 'mtu kupinga vikali', ni misingi kutaka na kupinga vikali. Wanaotaka chama kisimame kwenye matakwa ya mtu ndiyo wanaoeneza uongo kama huu. Lengo nini? CHADEMA kuna mgogoro!

Hakuna mgogoro kuna kusimamia nidhamu na kujenga imani ya wananchi ambao wana matumaini makubwa na chama chao.

Hii ya kuwachonganisha Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake mbona haijaanza leo, bado mnahisi inaweza kufanikiwa na kuzaa matunda?

Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.

Ndani ya CHADEMA, Katiba, kanuni, maadili, taratibu na miongozo ndiyo itampenda au kumchukia mtu yeyote. Si suala la mtu fulani kumpenda au kumchukia fulani.

Hakuna kitu kama hicho. Labda kama hata walioandika hawajui maana ya 'maamuzi ya kikao'...


Mna kazi sana mwaka huu. Yaani kwa uchafu wote unaojianika bado mna uthubutu wa kutamka neno MAADILI? Maadili yapi hayo? Ya kuitana Dubai kwa shughuli maalum? Ya kukopeshana milioni 80 kwa kulipa deni la Katibu ama zile Milioni 40 aka 36 za fenicha ya Rais mtarajiwa ama zile milioni 20 za Mama Rais mtarajiwa? Maadili gani hayo? Ya kuchakachua katiba ipi hiyo mnayodai ndiyo inayofuatwa? Na katika hili sakata la viongozi wenu ni taratibu zipi zilizofiatwa. Za kumpa tuhuma mtu kikaoni na kufikia maamuzi hapohapo na maamuzi ambayo hata hicho kikao hakina nguvu hizo kikatiba? Propaganda makini ni zile zenye chembe ya ukweli na sio hizi za kujidanganya wakati walengwa wote wanajua uongo wake.

But again kama hii stori haina ukweli iweje utuhumu uchonganishi wa Slaa na Mbowe kama hayo ni mambo waliyoyafanya wao wawili? Iweje wachinganishee kwa kitu ambacho wanatuhumiwa kukifanya wao na wao wanajua hakuna kitu kama hicho? Lakini pia kwa msemaji wa chama kuja kupiga propaganda katika suala hili inaonyesha kuna ukweli fulani na ukizingatia kuwa Mwenyekiti ameshaapa kuwa kama Zitto anayemwita shetani atabaki na uanachama basi yeye atajiuzulu bila ya kujua kuwa kina Slaa na Lissu wanamsubiria kwa hamu afanye kosa hilo maana kwao wao yeye ni mbaya kuliko hata Zitto waliye ungana kumpiga vita hivi sasa.!
 
Mbowe akubali yaishe kesi kubwa hii hatoiweza
 
Zitto utahangaika sana, lakini nikueleze kuwa Chadema haitumii kauli ya mmtu mmoja bali Katiba ya Chama,

Tumia katiba ya chama kuishi ndani ya Chadema.

Acha ujinga wewe, katiba ipi, hii iliyonyofolewa vipengele vya ukomo wa uongozi, au hii ambayo wahuni mnaitumia kuwaibia watz kisha mnaenda kununua majumba dubai?
 
Mtu yeyote anayeamini Habari za Jambo leo juu ya CHADEMA Lazima atakuwa naUlemavu wa Ubongo na Taahira ya akili

Hebu sema waliwahi kuandika habari zipi na zipi ambazo si za kweli sasa labda tunaweza kuamini usemacho
 
Mna kazi sana mwaka huu. Yaani kwa uchafu wote unaojianika bado mna uthubutu wa kutamka neno MAADILI? Maadili yapi hayo? Ya kuitana Dubai kwa shughuli maalum? Ya kukopeshana milioni 80 kwa kulipa deni la Katibu ama zile Milioni 40 aka 36 za fenicha ya Rais mtarajiwa ama zile milioni 20 za Mama Rais mtarajiwa? Maadili gani hayo? Ya kuchakachua katiba ipi hiyo mnayodai ndiyo inayofuatwa? Na katika hili sakata la viongozi wenu ni taratibu zipi zilizofiatwa. Za kumpa tuhuma mtu kikaoni na kufikia maamuzi hapohapo na maamuzi ambayo hata hicho kikao hakina nguvu hizo kikatiba? Propaganda makini ni zile zenye chembe ya ukweli na sio hizi za kujidanganya wakati walengwa wote wanajua uongo wake.

But again kama hii stori haina ukweli iweje utuhumu uchonganishi wa Slaa na Mbowe kama hayo ni mambo waliyoyafanya wao wawili? Iweje wachinganishee kwa kitu ambacho wanatuhumiwa kukifanya wao na wao wanajua hakuna kitu kama hicho? Lakini pia kwa msemaji wa chama kuja kupiga propaganda katika suala hili inaonyesha kuna ukweli fulani na ukizingatia kuwa Mwenyekiti ameshaapa kuwa kama Zitto anayemwita shetani atabaki na uanachama basi yeye atajiuzulu bila ya kujua kuwa kina Slaa na Lissu wanamsubiria kwa hamu afanye kosa hilo maana kwao wao yeye ni mbaya kuliko hata Zitto waliye ungana kumpiga vita hivi sasa.!

Haya majitu ni sawa nambwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo
 
Mpaka babu anaongea ivo kaiona sura ya zitto kote alikopita. Chadema mnasema ni taasisi lakini mjue ili taasisi iende inahitaji kiongozi makini na kiongozi huyo ni Zitto tu.
 
Tatizo chadema ilikwisha jitengenezea marobot piga pindua hivyo ndivyo yalivyo setiwa penye kuhitaji uhuru wa fikra na mawazo pembuzi yenyewe huruka na matusi na fikra mgandamizo. C chadema tu hata chama cha chukua chako mapema namo yamo maroboti na hii italikawiza sana taifa hili la Tanzania kufikia ukombozi wa kifikra na kiuuchumi kama yalivyo piga hatua mataifa mengine yalio pata uhuru siku moja na Tanganyika.na uwozo huu tuvunao hivi sasa kutoka ccm na chadema ni mbegu alizopanda Julius kambarage nyerere ktk nchi hii kulikuwako na watanzania waliouwona uvundo huu kama akina kambona, bibi Titi, Chipaka na wenzake kwa bahati mbaya hawakuungwa mkono kama wanavyokoswa kuungwa mkono vijana wenyekutaka kuleta demokrasia ya kweli ktka medani ya kisiasa hivi sasa kwa sababu umma wa watanzania hasa vijana wengi ni mawazomgandaizo urithi kutoka kwa wazee wawo waliolelewa na jk nyerere.
 
huku katibu mkuu dk slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya chama mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo mwenyekiti mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma jambo leo.

dr slaa huwa hana muda wa kujibu story ya jambo leo,uhuru,mzalendo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom