Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Status
Not open for further replies.
Hii JAMPA LEO ndio gazeti gani hili?

Nashangaa Watu wanapoteza hela Na muda kusoma magazeti ya uchuro yenye Habari za kajampa nani Leo
 
Leo ni siku kubwa na siku ya heshima ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. si siku ya wajinga. Jambo Leo Mwogopeni Mungu wa kweli.
 
Zitto utahangaika sana, lakini nikueleze kuwa Chadema haitumii kauli ya mmtu mmoja bali Katiba ya Chama,

Tumia katiba ya chama kuishi ndani ya Chadema.

Zitto kaingiaje hapa???....
Sio bure, utakua na ujauzito wake ndo maana haukosi kumtaja aje akwangue hyo kabang kila dakika.
 
Zitto utahangaika sana, lakini nikueleze kuwa Chadema haitumii kauli ya mmtu mmoja bali Katiba ya Chama,

Tumia katiba ya chama kuishi ndani ya Chadema.

Sasa hii habari kwani imletwa na Zitto hapa? kweli Nyie vibaraka wa Wahafidhina mnanyimwa ucngz na Zitto
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

hili gazeti linamilikiwa na wauza unga, hatuwezi kuliamini
 
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha. Ndiyo strategy mpya iliyoko mtamboni?

Chonganisha Mbowe na Slaa, tapeli wajumbe wa mikutano kwa kuwasainisha fomu 'feki' mkidanganya zimetoka Makao Makuu ya Chama, chonganisha wajumbe, chonganisha wanachama na chama chao, chonganisha, chonganisha, sema uongo, sambaza uongo...ndiyo strategy iliyoko mtamboni?

Ndani ya CHADEMA si suala la 'mtu kutaka' wala 'mtu kupinga vikali', ni misingi kutaka na kupinga vikali. Wanaotaka chama kisimame kwenye matakwa ya mtu ndiyo wanaoeneza uongo kama huu. Lengo nini? CHADEMA kuna mgogoro!

Hakuna mgogoro kuna kusimamia nidhamu na kujenga imani ya wananchi ambao wana matumaini makubwa na chama chao.

Hii ya kuwachonganisha Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake mbona haijaanza leo, bado mnahisi inaweza kufanikiwa na kuzaa matunda?

Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.

Ndani ya CHADEMA, Katiba, kanuni, maadili, taratibu na miongozo ndiyo itampenda au kumchukia mtu yeyote. Si suala la mtu fulani kumpenda au kumchukia fulani.

Hakuna kitu kama hicho. Labda kama hata walioandika hawajui maana ya 'maamuzi ya kikao'...

Poor writing,repetition of words,sijui wamesoma shule ipi ya uandishi wa habari au uhusiano

Shame on you
 
full makanjanja jambo leo nasema huu ni upotoshwaji mkubwa sana.
 
Poor writing,repetition of words,sijui wamesoma shule ipi ya uandishi wa habari au uhusiano

Shame on you

unafikiri tupo kwenye mashindano ya insha humu jf?kwanza kurugenzi ya habari imejishusha sana kulijibu gazeti la wauza unga ambalo linahaririwa na masogange huku anasniff coca*n*
 
Mkigoma = Leka Dutigite = ZZK = Njoo turukeruke...


Naona wakigoma kweli wanarukaruka .....
 
Poor writing,repetition of words,sijui wamesoma shule ipi ya uandishi wa habari au uhusiano

Shame on you

Poor criticism, sijui umesoma shule ipi ya uandishi kwa kiingereza.. "repetition of words" ndio kitu gani? Kwani lazima uandike kizungu kama hukijui..
Mpuuzi wa kawaida tu wewe..

Shame upon you!
 
Waandike uongo kwa makusudi ili baadae wapoteze muda wa watu makini kukanusha. Ndiyo strategy mpya iliyoko mtamboni?

Chonganisha Mbowe na Slaa, tapeli wajumbe wa mikutano kwa kuwasainisha fomu 'feki' mkidanganya zimetoka Makao Makuu ya Chama, chonganisha wajumbe, chonganisha wanachama na chama chao, chonganisha, chonganisha, sema uongo, sambaza uongo...ndiyo strategy iliyoko mtamboni?

Ndani ya CHADEMA si suala la 'mtu kutaka' wala 'mtu kupinga vikali', ni misingi kutaka na kupinga vikali. Wanaotaka chama kisimame kwenye matakwa ya mtu ndiyo wanaoeneza uongo kama huu. Lengo nini? CHADEMA kuna mgogoro!

Hakuna mgogoro kuna kusimamia nidhamu na kujenga imani ya wananchi ambao wana matumaini makubwa na chama chao.

Hii ya kuwachonganisha Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake mbona haijaanza leo, bado mnahisi inaweza kufanikiwa na kuzaa matunda?

Ndani ya CHADEMA msingi wa masuala yote ni Katiba, Kanuni, taratibu, maadili na miongozo. Si mtu. Kama watu wanaamini hawajavunja misingi ya CHADEMA wasiwasi wote huu unatoka wapi hadi kuzusha maneno ya uongo mkavu kama huu.

Ndani ya CHADEMA, Katiba, kanuni, maadili, taratibu na miongozo ndiyo itampenda au kumchukia mtu yeyote. Si suala la mtu fulani kumpenda au kumchukia fulani.

Hakuna kitu kama hicho. Labda kama hata walioandika hawajui maana ya 'maamuzi ya kikao'...

Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Tupatieni Habari ya maendeleo ya Mheshimiwa Waziri wa Cash.. na sio Propaganda...
 
Ebu tupumzisheni na huu ujinga wa Zitto Kila siku yeye tunataka kula sikukuu sisi bwana tumechoka
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.
Dah.......! hizi buku 7 sa krisimasi zina tafutwa kwa nguvu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom