Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Mbowe, Slaa Watofautiana kuhusu Zitto...

Status
Not open for further replies.
Mpaka babu anaongea ivo kaiona sura ya zitto kote alikopita. Chadema mnasema ni taasisi lakini mjue ili taasisi iende inahitaji kiongozi makini na kiongozi huyo ni Zitto tu.

Kama Zitto ni makini mchukueni kwenye chama chenu cha mizigo, sio mnamtetea abaki cdm! Haihitajiki akili kubwa kujua mnachotetea!
 
Tatizo chadema ilikwisha jitengenezea marobot piga pindua hivyo ndivyo yalivyo setiwa penye kuhitaji uhuru wa fikra na mawazo pembuzi yenyewe huruka na matusi na fikra mgandamizo. C chadema tu hata chama cha chukua chako mapema namo yamo maroboti na hii italikawiza sana taifa hili la Tanzania kufikia ukombozi wa kifikra na kiuuchumi kama yalivyo piga hatua mataifa mengine yalio pata uhuru siku moja na Tanganyika.na uwozo huu tuvunao hivi sasa kutoka ccm na chadema ni mbegu alizopanda Julius kambarage nyerere ktk nchi hii kulikuwako na watanzania waliouwona uvundo huu kama akina kambona, bibi Titi, Chipaka na wenzake kwa bahati mbaya hawakuungwa mkono kama wanavyokoswa kuungwa mkono vijana wenyekutaka kuleta demokrasia ya kweli ktka medani ya kisiasa hivi sasa kwa sababu umma wa watanzania hasa vijana wengi ni mawazomgandaizo urithi kutoka kwa wazee wawo waliolelewa na jk nyerere.

mkuu macho/miwan uliyotumia ktk kuliona hili ni sawa na yangu:vijana& wasomi wameganda kifkra!
 
Asante kuja kujibu on time!. Uongo hata ukisemwa mara 100, sio lazima ukanushwe mara mara 100, unaweza kuachwa ili msema uongo akishamaliza kusema mara 100, unakanushwa maea moja tuu na inatosha!. Uongo ukiachwa bila kukanushwa ndio huonekana ni ukweli!.

Pia nimeipenda hiyo ya ndani ya Chadema ni kufuata tuu sheria, taratibu na kanuni, na hapa ndipo wenye busara wote wanasubiri huo utekelezaji wa shria, taratibu na kanuni katika suala zito la Zitto.

Merry X-Mass
Pasco

Lazima afukuzwe tayari ameshaonyesha amefuata muelekeo wa Dr Agustino Lyatonga Mrema, let him go. Hafai hata kwa kufundisha Pre-primary school.
 
Naishauri kamati kuu kuamuru kuundwa kitengo cha vijana makini,wasomi wa IT na wenye uwezo wa kupambana kwa hoja na wale wote wanaojaribu kuweka propaganda chafu za kuchafua chama au viongozi wa chama ili viongozi watumie muda mwingi kukijenga chama kwa utulivu kwa kuibua mambo machafu yanayofanywa na ccm na serikali yake kwa wananchi na kupanga mbinu za ushindi kwa chaguzi mbalimbali, na sio viongozi kupambana na propaganda hizo mbazo zinatumika kama strategies za kuwapotezea muda wa kujenga chama na kubaki kwenye malumbano.Pia kiundwe kitengo cha wanasheria makini na wataalamu kama lisu,marando,etc ambacho kitashughulika na migogoro yote ndani ya chama na kesi mbalimbali dhidi ya chama au viongozi au wanachama wa cdm ili viongozi na wanachama watumie muda mwingi kwenye ujenzi wa chama badala ya wao kushughulikia kesi zinazowapotezea muda wa kujenga chama.
 
Zitto should keep quiet because his goose is already cooked!!!
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Nawashauri wafuate ushauri wa Mh. Bernard Membe alioutoa kwenye kipindi cha dakika 45 ITV Jumatatu wiki hii
 
Mnatukwamisha sana! Maneno ya chizi yanaikera hadi leo. "...bora tuchelewe kuingia ikulu, kuliko kuwaacha wasaliti ndani ya chama...". Maneno ya kpuuzi kwa tulio na iman ya kutosha CDM kuchukua dola 2015
 
Mbowe ampishe Zitto awe mwenyekiti wa chama tuchukue nchi. Funguo za ikulu za ikulu kwa Chadema anazo Zitto.
 
Kama Zitto ni makini mchukueni kwenye chama chenu cha mizigo, sio mnamtetea abaki cdm! Haihitajiki akili kubwa kujua mnachotetea!

Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Ukurupukaji katika kufanya maamuzi ndio kosa kubwa lilolofanyika.

Zitto jembe la mkulima yuko fit vibaya mno. Hang'oki alishasema!
 
Ukurupukaji katika kufanya maamuzi ndio kosa kubwa lilolofanyika.
Zitto jembe la mkulima yuko fit vibaya mno. Hang'oki alishasema!
Nchaby, pole sana kijana. Achana na porojo za wapuuzi, hakuna mjumbe hata mmoja ndani ya kamati aliye tayari kutetea usaliti au utovu wa nidhamu ndani ya chama bila kujali uzito wa mhusika. Tofauti ya Chadema na CCM ni kama ya mchana na usiku respectively, if you know what I mean...that's why people love Chadema!
 
Zitto utahangaika sana, lakini nikueleze kuwa Chadema haitumii kauli ya mmtu mmoja bali Katiba ya Chama,

Tumia katiba ya chama kuishi ndani ya Chadema.

Habari imeandikwa na JAMBO leo, wewe unamrukia Zitto.

Sijui utajisikiaje kama Zitto asipofukuzwa uanachama
 
Mbowe ampishe Zitto awe mwenyekiti wa chama tuchukue nchi. Funguo za ikulu za ikulu kwa Chadema anazo Zitto.

bora tusiende ikulu wala tusipate wabunge ila kirusi 'zitrojan' kiwe scanned
 
Hivi tembo wapo salama huko porini au ndo wanazidi kuuwawa. Taifa la vijimambo hili. Tunafunga mwaka na chorus ya Zito, ili hali tumesahau mawaziri mizigo na mambo mengine kede kede
 
Huku katibu mkuu Dk Slaa akitaka zitto arudishiwe nafasi zake zote ndani ya Chama Mwenyekiti amepinga vikali kutorejeshwa katika nafasi zake, amesema kuna makosa yalitendeka katika kumvua nyadhifa hizo, kutoka na na msimamo huo imepelekea Hata kuachia nafasi ya katibu mkuu endapo Mwenyekiti Mbowe atashikilia msimamo wake huo. Habari zaidi soma JAMBO LEO.

Waandishi wengine bhana njaa tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom