Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mwenyekiti wa CHADEMA amesema kuwa CCM haina ugomvi na vyama vingine vya siasa zaidi ya CHADEMA kwasababu wanajua CHADEMA ni chama cha watu, na mimi nilimwambia Hayati Magufuli kuwa ukimuua Mbowe unaweza lakini huwezi kuiua CHADEMA, kwasababu CHADEMA ni imani ya watu.
Pia amewataka wanaMagu kujiunga na kukijenga CHADEMA, siyo kwasababu ya sura ya Mbowe, CHADEMA siyo mali yangu(Mbowe), CHADEMA ni mali yenu. Chama pekee ambacho kinaundwa na imani, na ndio maana hakifi.
Tumepigwa propaganda za kila aina, tumepita mateso ya kila aina lakini chama hiki badala ya kudidimia kimeimarika.
Pia amewataka wanaMagu kujiunga na kukijenga CHADEMA, siyo kwasababu ya sura ya Mbowe, CHADEMA siyo mali yangu(Mbowe), CHADEMA ni mali yenu. Chama pekee ambacho kinaundwa na imani, na ndio maana hakifi.
Tumepigwa propaganda za kila aina, tumepita mateso ya kila aina lakini chama hiki badala ya kudidimia kimeimarika.