Mbowe na tafakuri zake...

Mbowe na tafakuri zake...

Ujumbe wangu ni kwa Mr. Mbowe na wana JF. Wakiuelewa wao, I am fine. Kazi ya kueneza ujumbe vijijini sina interest nayo.
 
Mh,

Mugongo mugongo, ulichoandika kizito. Kina ujumbe mrefu sana kwangu. Na-kopi ili ni-print nisome kwa kuangalia hapa hapa kwangu niweze kujenga hoja.

Sina cha kuongeza, kwanza nipate ujumbe ndipo nitalonga
 
Mh,

Mugongo mugongo, ulichoandika kizito. Kina ujumbe mrefu sana kwangu. Na-kopi ili ni-print nisome kwa kuangalia hapa hapa kwangu niweze kujenga hoja.

Sina cha kuongeza, kwanza nipate ujumbe ndipo nitalonga

Sawa Mac I am going deep again, nitarudi if there is something worth coming back for which, you guessed it, is Mr. Mbowe's word.
 
Mugongo
Kama nia yako ni Mbowe na kidogo sisi wana JF why didn't you e-mail him direct na usipitie hapa ? Maana yeye hakuleta hapa ila uliletwa yeye aliwalenda wananchi wa Tanzania .Je una lengo lilile ?

nakubaliana na maoni yako ni mazito na yana make sense sawa lakini majibu haya kama si Mbowe kuandika ina maana usingali andika .Na wewe shida yako ni Mbowe na wana JK .Je una uhakila wana JF wote wanaweza kusoa Kiingereza ?

Mbowe anauani yake omba upewe private since unaonyesha ujumbe wako nin kwake tuu wengine ni by the way .
 
Wanabodi,

Inachekesha sana kusoma habari ya ndugu yetu Mugongo Mugongo...
Kwanza kaanza kwa hesabu za sijui Kikwete mara 8 CCM mara 7 na serikali 8 times..akishangaa hakuna Chadema hata mara moja.

Hizi ndizo hadithi za Abunuasi...Chadema hawapo madarakani wala somo lake kwa wananchi halihusu kabisa Chadema why aizungumzie?

I mean mimi hapa naweza kabisa kumuuliza yeye Mugongo mbona tatumia jina Mbowe zaidi ya mara ishirini, sioni Kikwete, serikali wala jina lake yeye mwenyewe - Mugongo Mugongo wakitajwa...

Mugongo Mugongo maelezo yako yanaweza kuwa mazuri sana lakini mwanzo mbaya, upeo mdogo sana wa kuelewa ujumbe unahusu kitu gani!
 
Mkandara,

Oops! I repeated the Mbowe mistake - in that, I, mugongo mugongo, as a CCM National Chairman, failed to mention CCM in a political article about the future of the country. -🙂 -🙂
 
You put me at the same level with Mr. Mbowe, Chairman of CHADEMA, and justified his not mention CHADEMA with my failure to mention CCM. So, a bit of sarcasm was warranted. 🙂
 
Mhhhhh! a very personal way to convey a special message huh!

In your mind a chairman of CCM would have convey the same message (yours) different?

Come to think of it, is it necessary to mention your wife when talking about ugly women?
 
Dam....it! I ignored this artical but it gives me food for thought. Inabidi kuanza kukuna vichwa. Mugongo mugongo hebu weka nondo moja kwa JK na nyingine kwa EL.
 
Mhhhhh! a very personal way to convey a special message huh!

In your mind a chairman of CCM would have convey the same message (yours) different?

Come to think of it, is necessary to mention your wife when talking about ugly women?

Mkandara,

Should I be flattered that you branded my message as "special"?

You will have to call Lumumba street or Dodoma to find out CCM (and their Chairman's) views about Mbowe's article.

Your question: Is it necessary to mention your wife when talking about ugly women? Good, philosophical question. But there is fallacy in it which unfortunately underpins most discussions here: that you cannot criticize Mbowe or CHADEMA unless you are CCM and you cannot criticise JK and CCM unless you are in the opposition. This kind of mentality ruins debates here because it puts everybody in a box.

Back to your question: Is it necessary to mention your wife when talking about ugly women? Well, do you lose the right to talk about ugly women even when you don't have a wife?
 
Mugongo.. you are a breath of fresh air..! Na unachosema ni kweli kuwa udhaifu mmoja wa hapa ni kuwa ukikosoa CCM watu wanakuona mwenzao, ukiuokosoa upinzani watu wanahidi umekunywa maji ya bendera! Uzuri wake hata hivyo ni kuwa iwe ni CCM au upinzani vyote vinakosoleka hata kama baadhi ya watu hawapendi.

So, next time I can't wait to hear your take on CCM's governance and the fate of our country. is CCM still the only hope for the development of our nation?

anyway, on the question of ugly women and wives.. I think if you have a wife and she happens to be ugly (according to somebody's standard) then you have the right to talk about women whether they be ugly or beautiful (bearing in mind that she better not hear you mention that she is indeed ugly!). But if you don't have a wife, but still want to talk about ugly women make sure you are not attracted to one!
 
Mugongo mugongo,

Unamuonea Mbowe. Makala yake ina ujumbe mzito na sidhani kama inaweza
kuandikwa na mtu mwenye uwezo mdogo kama ulivyoandika.

Sio kazi ya kiongozi wa upinzani kutengeneza policies za namna ya kuongoza nchi kwani hata akifanya hivyo haitasaidia badala yake viongozi wa upinzani popote huongelea strategies watakazofuata kama watakuja chaguliwa na kwasehemu kubwa kukosoa makosa ya serikali iliyopo.

Sioni mantiki ya Mbowe kutaja Chadema wakati kwa yale aliyoandika tayari kwa mtu anayeelewa Chadema imeshatajwa mara nyingi.
 
Mugongo Mugongo,

Ur message was special, no doubt!...Criticise that's another level.
Remember we have been waiting for someone to answer some of your Q..
yet, I believe and respect messages which open up my cerebrum rather than who to whom. Off cause tunajua wenye kutazama upande mmoja wa sarufi lakini sii vizuri nasi tuwe kama wao. CCM, Chadema, CUF all knows where I stand!

Mzee mwanakijiji,
anyway, on the question of ugly women and wives.. I think if you have a wife and she happens to be ugly (according to somebody's standard) then you have the right to talk about women whether they be ugly or beautiful (bearing in mind that she better not hear you mention that she is indeed ugly!). But if you don't have a wife, but still want to talk about ugly women make sure you are not attracted to one!
Super!
 
Vema,

Binafsi sipendi kuegamia upande wowote, nadhani ni wengi wapo hivi. Inakuwa ajabu pale mtu anapoingia kwenye forum akaona mawazo ya watu kama wanne akaanza kudai kuwa ina maana ninyi ni CUF au CHADEMA au CCM?

Sipendi hata kuitwa mmojawapo wa vyama hv. Ninachopenda ni mawazo mbadala ya kuweza kulitoa taifa letu kwenye upupu wa umasikini uliowatanza watanzania wenzetu. Najiona masikini lakini nikienda kijijini huwa najiona Mengi mdogo.

Barabara mzozo, umeme mzozo, maji balaa, mawasiliano ya simu ndo kabisaa hadi wapande miembe, nyumba za kulala basi hata usipende kuoneshwa, mavazi wengine bado wanavaa magome, chakula hata uhakika wa kupata mlo mmoja ni issue.

Nani atatukomboa? Siilaumu CCM, lakini wanataka nimlaumu nani? Upinzani? Wana nafasi ya kufanya hivyo? Serikali iliyo madarakani daima ndo hutwishwa mzigo. Ndo maana binafsi nikiilaumu CCM simaanishi kuwa SIIPENDI, hapana. Naipenda CCM kama ikitekeleza ahadi zake kwa watanzania.

Haya yote huahidiwa kila chaguzi. Wana bahati watanzania ni wasahaulifu hivyo kuwapa tena kura kwenye chaguzi zinazofuatia. Tena wengine wanajisifu vitu vingine ambavyo ilikuwa ni kutekeleza wajibu wao kama viongozi.

Sipendi hii tabia ya mtu kusifiwa sifa kem kem kwa kutekeleza wajibu. Mpinzani pia akipiga kelele bila kuhakikisha zinafika mbali na kuhakikisha umma unapata kile anachokipigia kelele basi namwona nae ni sawa na chura tu.

Tanzania yenye neema inawezekana! Na naamini mabadiliko mazuri yanaweza kuanzia kwetu hapa! Trust me, we can!
 
Mkandara
Huu ni moto wa makaratasi ama ngoma ya kitoto haikeshi. Huyu Mugongo kama ni kweli ni Mwenyekiti wa CCM n wonder madudu yale yanatokea hapa TZ. Nimemuuliza maswali machache sana huko nyuma anaruka ruka kabla sijazamia makala yake mmesha mvaa . Wale wale hawa .Mbowe hawezi kusema yote kwa siku moja lakini mengi unayo yasema Mugongo na CCM yako mnayajua mbona hamtimizi ahadi zenu ?
 
Mkandara
Huu ni moto wa makaratasi ama ngoma ya kitoto haikeshi. Huyu Mugongo kama ni kweli ni Mwenyekiti wa CCM n wonder madudu yale yanatokea hapa TZ. Nimemuuliza maswali machache sana huko nyuma anaruka ruka kabla sijazamia makala yake mmesha mvaa . Wale wale hawa .Mbowe hawezi kusema yote kwa siku moja lakini mengi unayo yasema Mugongo na CCM yako mnayajua mbona hamtimizi ahadi zenu ?


Mhhh hapo pataleta utata ule ule...wa vyama!!
 
Lunyungu,

Ndugu yangu Mugongo sio CCM...umemvisha taji sii lake. Ila kwa msomaji mzuri utaelewa kavikwa kofia na shati la CCM mahala ambapo ujumbe wake ungekuwa mzuri zaidi kama asingevaa guo hilo!..
 
Huyu Mugongo kama ni kweli ni Mwenyekiti wa CCM n wonder madudu yale yanatokea hapa TZ

Ha ha ha! This is brilliant! Now, how do you even start with a person who can't even follow.

Mkandara - saidia hapa.

Mac - maneno mazito na ya busara hayo. Ugomvi wetu wengine sie ni kudanganywa, aidha na CCM au na mtu kama Mbowe. Take my word: he will turn out to be a fake because you can fool some people some of the time but you cannot fool all the people all the time. Politics cannot be a redemption from failure in everything else.

Uozo wa CCM unaniikwa hapa day in, day out and do not really need another screamer. My forte is ineptness ya upinzani. We want an alternative but if we think it is Mr. Mbowe and CHADEMA, we are in for a heartbreak.
 
Lunyungu,

Ndugu yangu Mugongo sio CCM...umemvisha taji sii lake. Ila kwa msomaji mzuri utaelewa kavikwa kofia na shati la CCM mahala ambapo ujumbe wake ungekuwa mzuri zaidi kama asingevaa guo hilo!..

Nilikuwa sijaona hii wakati na-post. Thanks.
 
Back
Top Bottom