Kafie mbele uko why not Zitto..Ni jambo jema, nataka kusikia lema anapewa adhabu kali. Sheria ni upanga ukatao kuwili
Chadema ni kama gari lisilo na dereva
Linakwenda kwenda tu...
Hao uliowataja ndio watuhumiwa namba mbili na tatu wa hili saga. Mtuhumiwa namba moja yuko shambani kwake Tengeru...
Chama Cha Msalani (CCM)...aka CHAMA CHA MAJANGILI...Naunga mono hoja.
Kwa hiyo unataka ofisi kuu ya Chadema ihamie JF.Wewe mwanachama wa aina gani?Unatishia kujitoa katika shughuli za chama kama Mbowe na Slaa hawatafungua kikao cha chadema kwenye ofisi zilizoko JF,unasubiri nini? Jitoe sasa hivi halafu uone kama CDM itatetereka.
Watoto wa nje ya ndoa bana tangu wazazi wako kuachana baada ya ujauzito wako kuleta utata ulikumbana na mkosi na huu mzimu utakutesa daima basi tafuta mume uolewe japo huna mvuto hata wa kuolewa.maskini mke wangu simiyu, kihelehele cha nini? Kesho ntakuja na basi la mbasa raha kukuletea matumizi usihangaike, tulia mama.
Chadema ni kama gari lisilo na dereva
Linakwenda kwenda tu...
sixgates,
Unatoa saa 24 kama nani?
Kama wewe ni mwanachama na ukaona tatizo ni kwanini usifuate taratibu tofauti na taratibu hizo hizo unazozilalamikia?
Unallamika kuwa kuna kiongozi ameshambuliwa lakini wewe unashambulia viongozi wa juu kwa kutumia njia hiyo hiyo
Ni lini uliona viongozi wa juu wa Chadema wameingilia mijadala humu kwenye mitandao?
Nakushauri ujifunze juu ya Itifaki.Kujaribu ku-imagine kwamba Mwenyekiti na katibu mkuu wanaweza kuja huku kumtetea kiongozi wa chini mwenye uwezo wa kujisemea na kujitetea ni gross insubordination
Tangu ianzishwe JF yamesemwa mengi lakini inapotokea hitilafu mara nyingi aliyeko rank ya chini na au msemaji wa chama mwenye mamlaka ya kusemea yote hufanya hivyo
Hawa waheshimiwa Mbowe na Dr.Slaa mbali ya kuwa viongozi wakuu kwenye chama chao bali pia ni misingi na kanuni ya chama.
Kwa maana hiyo kanuni zingine na misingi ya CDM ndani ya chama azina ulazima, si wameshasema wakifanya uchaguzi ndani ya chama CDM kitazoofika. Ndio maana matusi kwa wengine kwao sawa kwakuwa they know how to handle wapiga kura na chama chao na ni wao ndio wenye vision ya ukombozi pekee, to think kuna watu wamelewa na porojo zao.
Chama chenye misingi imara utakiona siku zetu kanuni ndio mwongozo wake, hata CCM despite matatizo yake mwisho wa siku ni kanuni za chama ndio utoka kidedea. Zitto amekuwa akitukanwa na watu ambao wadogo kwake kichama na wala hawana impact ya wapiga kura na hawapo kwenye makeke makeke ya kuipa sura ya CDM kama chama mbadala na wala hawakanywi, sasa kweli si ka-saccos binafsi tu hii chadema, wengine tunaomba waache tu kuchukua michango ya maskini kwa maslahi yao.
Chama gani badala ya kupoteza muda kuangaika na kutunga au kuuza sera na kukosoa sera kila kukicha chenyewe kinaongelea personalities, majungu na vikao almost every week.
usimusumbue kamanda kwa hoja zako za kimagamba gamba hapa, kwanza kuanzia leo zitto simtambui kama kimgozi wa chama changu, bali kama muuza sura,mtafuta ujiko, mropokaji na asiyejielewa. Huu upuuzi pelekeni mwandiga. Kama na wewe uko upande wa zitto na masalia kuanzia kesho wambieni jamb zenu wa lumumba tumewashitukia.
Ulichonacho ni kiherehere tuu,huna jipya.
Mods matusi haya...Hivi hii ya Lema kuliwa kiboga na baadhi ya vijana wake wa bavicha kutokana na kuwadhulumu ni kweli?maana picha mnato zimezagaa na nasikia video itaepuliwa soon
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?
Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani)
We si ndio ulikua unatetea division 5 wewe?! Hilo tu linatosha kujua uwezo wako na kisha kupuuza bandiko lako!!
Eti unatoa masaa 24 la sivyo itatoa tamko na wanachama wa kanda yako?!!? Una kanda wewe?! Hizi ndizo akili kama za Le mutuz hizi! BS!
Unatakiwa kukemewa ili mapepo yatoke!Mkuu tatizo nalipa kodi na ruzuku zinaenda kwene hiki chama so usifikiri ntaacha kukikemea
ndani ya CCM kuna nini? Kwa heshima ya moderators nastop!!Ndani ya CDM MCHAGGA mmoja sawasawa na watu 100 wa makabila mengine.