Chadema ni kama gari lisilo na dereva
Linakwenda kwenda tu...
Naona usingizi umemwisha na njaa imemuanza muite dada akupe chai. Utalelewa mpaka lini acha madawa
Chadema ni kama gari lisilo na dereva
Linakwenda kwenda tu...
Unafiki mtupu?!.. Akifanya Zitto poa... akitendewa yeye dhambi hata maCCM mnaibuka na kupiga kelele!Ridiculous and very arrogant comments, Hao viongozi wanauwezo wa kuingila na kuyatuliza hayomambo bila ya kuja hapa jf, Ukweli ni kuwa hii planned attack is part of their political journey to eliminate all popular party members who are winning the masses, while they are busy doing other things. be the pole and dont be the flag
Utakuwa na mimba ya mchagga wewe,endelea kula udongo bibie..Ndani ya CDM MCHAGGA mmoja sawasawa na watu 100 wa makabila mengine.
mkuu afadhali hao jamaa wangekuwa wamekupata japo kwa iota ya unachikionglea, zitto hata kama kweli anayo matatizo ndani ya chama mbele ya wapiga kura amejiuza kama yeye ni product ambayo hipo anti-ufisadi, pro-development and a patriotic tanzania. Ndio hicho wanaompendea zitto walichovutiwa nacho kwake yeye, hayo mengine mnayoyaongeza ni unnecessary si kwa zitto bali kwa afya ya chama.
Sasa cdm hata hilo hawalioni wao wapo tayari kuvunja ukuta kwa gharama kuliko kuziba ufa, hawajali ni percent ngapi ya wapiga kura wao wanaimani na zitto na wala utashi wa zitto ni majungu tu, hawajui ya ndani wangeweza kuyafanya kimya kimya kama zitto asogei zaidi asogei zaidi ya hapo, lakini kuliweka hadharani kwa majungu inaonyesha kikomo cha mwenyekiti na katibu mkuu kimawazo, yeh there not creative people after all.
Mkuu unapotoka sana, tena sana. Kuna any writings zenye copyright za hayo maneno? Naelewa unachotaka kusema lakini unapotosha tena kwa maksudi
Wanachami wepi ulionao uyo mkeo,mwanao na mfanyakaz ndio wanachama...Mkuu chadema haijashiba wanachama. Chadema ni chama kikubwa, hata akiondoka Slaa, mbowe, zito bado kitasimama maana watu wamewekeza katika hiki chama. Tunaona mbali tunaogopa watu kukiingiza chama katika liabilities za migogoro. Nielewe nia yangu.
Mimi sikitishi chama, lakini mimi na wanachama wangu tuna nguvu ya kuprotest kama kuna ujinga unaoendelea chamani.
mimi nimezaliwa nimeikuta ccm pekee na wala sijawahi kuhama kwenda chama chengine chochote kile cha wagema ulimbo.Umeingia CCM kwa nguvu gani kama siyo ubaguzi?
Subirin baada ya saa 24 utaona
kwani ni nani aliyeanzisha mashambulizi kwenye media? Acha kuwa mnafki, wote wawili wanamakosa.Mkuu, hivi kwani Lema ni nani asipewe adhabu?
Mkuu unapotoka sana, tena sana. Kuna any writings zenye copyright za hayo maneno? Naelewa unachotaka kusema lakini unapotosha tena kwa maksudi
Natamani wanachadema mkawa na maono haya, tusipoteze muelekeo. Kama viongozi wetu wanakuwa katika migogoro ni wazi watapoteza kondoo. Sisi sote ni wamoja. Tatizo ni ccm. Tuwe na msingi huu.
By Happy Feet![]()
![]()
Hawa waheshimiwa Mbowe na Dr.Slaa mbali ya kuwa viongozi wakuu kwenye chama chao bali pia ni misingi na kanuni ya chama.
Kwa maana hiyo kanuni zingine na misingi ya CDM ndani ya chama azina ulazima, si wameshasema wakifanya uchaguzi ndani ya chama CDM kitazoofika. Ndio maana matusi kwa wengine kwao sawa kwakuwa they know how to handle wapiga kura na chama chao na ni wao ndio wenye vision ya ukombozi pekee, to think kuna watu wamelewa na porojo zao.
Chama chenye misingi imara utakiona siku zetu kanuni ndio mwongozo wake, hata CCM despite matatizo yake mwisho wa siku ni kanuni za chama ndio utoka kidedea. Zitto amekuwa akitukanwa na watu ambao wadogo kwake kichama na wala hawana impact ya wapiga kura na hawapo kwenye makeke makeke ya kuipa sura ya CDM kama chama mbadala na wala hawakanywi, sasa kweli si ka-saccos binafsi tu hii chadema, wengine tunaomba waache tu kuchukua michango ya maskini kwa maslahi yao.
Chama gani badala ya kupoteza muda kuangaika na kutunga au kuuza sera na kukosoa sera kila kukicha chenyewe kinaongelea personalities, majungu na vikao almost every week.
sixgates,
Unatoa saa 24 kama nani?
Kama wewe ni mwanachama na ukaona tatizo ni kwanini usifuate taratibu tofauti na taratibu hizo hizo unazozilalamikia?
Unallamika kuwa kuna kiongozi ameshambuliwa lakini wewe unashambulia viongozi wa juu kwa kutumia njia hiyo hiyo
Ni lini uliona viongozi wa juu wa Chadema wameingilia mijadala humu kwenye mitandao?
Nakushauri ujifunze juu ya Itifaki.Kujaribu ku-imagine kwamba Mwenyekiti na katibu mkuu wanaweza kuja huku kumtetea kiongozi wa chini mwenye uwezo wa kujisemea na kujitetea ni gross insubordination
Tangu ianzishwe JF yamesemwa mengi lakini inapotokea hitilafu mara nyingi aliyeko rank ya chini na au msemaji wa chama mwenye mamlaka ya kusemea yote hufanya hivyo
Acha uongo wewe umemfuata JK na 2015 unarudi ulikotoka.mimi nimezaliwa nimeikuta ccm pekee na wala sijawahi kuhama kwenda chama chengine chochote kile cha wagema ulimbo.
Nalog off