sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
- Thread starter
- #141
Sikubaliani na njia uliyotumia na vitisho ulivyotoa.
Apana, wanasiasa wanataka kutuchezea. Kama ni ujinga wapeleke ccm lakini chadema ni chama cha vijana, wasomi, wapigania uhuru.
Hata che guevara wakat wa kupigania mapinduzi wale wote alioona wanarudisha nyuma juhudi, he killed them. So chadema haitayumba haitavunjwa eti kisa tunawanyoosha viongozi.