Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
326091_orig.jpg

Ni nani hawa mkuu??
 
Mkuu mimi hata akikosea Rais namkosoa, mimi ni muajiri wake, chadema kina jasho langu.
Hiyo niliyo bold ni kauli ya ZITTO!... Mimi sikulaumu wewe kukosoa ndiyo maana na mimi nakukosoa.. Ila nakupinga kwas kuwa MNAFIKI.. UPINGACHO NDICHO UTENDACHO!
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
mtoa
mada kamtishe mkeo, eti nitajitoa kwani wewe ni nani mpaka umtishe mwenyekiti na mtukufu katibu wetu. mwambie zito mtoto hatumwi dukani safari hii nyinyi kachezeni kekatugite yenu huko mtuache na chadema yetu.
 
Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu

Nadhani ili uwe na conclusion iliyo na objectivity ungetazama chanzo cha malumbano hayo. Zitto kama kiongozi naye alighafirika. Yericko Nyerere nae amekuwa too emotional. Nikiitazama dhamira hasa ya Yericko naona ni kusafisha wote wenye ndimi zaidi ya moja kwenye chama.

Lakini safisha safisha haifanywi hadharani. Tunaumiza chama
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Ame
Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu

Halafu naona huu uharo wako ulioanzisha ulikuwa unamlenga Yericko Nyerere....Be straight and forward sio unabwabwaja bwabwaja hapa..
 
Mkuu wewe una upeo hungozwi kw hisia
Sisi tunaokukosoa tuna upeo kuliko wanaokusifia kinafiki. UNamkosoa LEMA kutumia mitandao kosa ambalo hata MWIGAMBA alilitenda na wewe unaanzisha mada ileile!
 
Busara hii ndiyo ambayo mimi niliitegemea kutoka kwako... Sasa posti yako imejaa madudu unayoyalalamikia.. Bila shaka ungekuwa katika nafasi ya lema ungefanya ujinga ule ule? KUKUKOSOA HATA KWA UKALI SI KUKUDHARAU!.

Mkuu tatizo sasa unapiga ramli. Eti bila shaka ningekuwa kwenye nafasi ya Lema I will do the same. Haina ushahidi wa kisayansi. Acha porojo
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!


Nadhani sasa wamesha lewa madaraka kwani hawaambiliki wala hawasikilizi .Niweka Uzi hapa masaa machache yaliyopita wenye kichwa cha habari barua kwa Mheshimiwa Lema toka Uk baada ya kupata sapoti nyingi wameshaunyofoa.Nadhani Uzi wako pia utaondolewa
 
Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Risiti hazijaletwa na viongozi wa chadema.... Zitto ni kiongozi asingezipitisha!
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
Kwa hiyo unataka ofisi kuu ya Chadema ihamie JF.Wewe mwanachama wa aina gani?Unatishia kujitoa katika shughuli za chama kama Mbowe na Slaa hawatafungua kikao cha chadema kwenye ofisi zilizoko JF,unasubiri nini? Jitoe sasa hivi halafu uone kama CDM itatetereka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom