Kweli wewe ndo Gogo Vivu....Hebu nenda kakojoe ukalale...Kwa haya yaliyotokea CDM wameisha jivua nguo.
Na inaonekana na jinsi gani viongozi wa ngazi za juu jinsi walivyo na upendeleo.
hahaha, kamati kuu ya CCM imetoa masaa 24 kwa Mh. Mbowe na Dr,Slaa, loh, hii kali ya mwaka.
Hiyo niliyo bold ni kauli ya ZITTO!... Mimi sikulaumu wewe kukosoa ndiyo maana na mimi nakukosoa.. Ila nakupinga kwas kuwa MNAFIKI.. UPINGACHO NDICHO UTENDACHO!Mkuu mimi hata akikosea Rais namkosoa, mimi ni muajiri wake, chadema kina jasho langu.
mtoaNajiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?
Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.
Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu
Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu
Sisi tunaokukosoa tuna upeo kuliko wanaokusifia kinafiki. UNamkosoa LEMA kutumia mitandao kosa ambalo hata MWIGAMBA alilitenda na wewe unaanzisha mada ileile!Mkuu wewe una upeo hungozwi kw hisia
Busara hii ndiyo ambayo mimi niliitegemea kutoka kwako... Sasa posti yako imejaa madudu unayoyalalamikia.. Bila shaka ungekuwa katika nafasi ya lema ungefanya ujinga ule ule? KUKUKOSOA HATA KWA UKALI SI KUKUDHARAU!.
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?
Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.
Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
Risiti hazijaletwa na viongozi wa chadema.... Zitto ni kiongozi asingezipitisha!Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Kwa hiyo unataka ofisi kuu ya Chadema ihamie JF.Wewe mwanachama wa aina gani?Unatishia kujitoa katika shughuli za chama kama Mbowe na Slaa hawatafungua kikao cha chadema kwenye ofisi zilizoko JF,unasubiri nini? Jitoe sasa hivi halafu uone kama CDM itatetereka.Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?
Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?
Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.
Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
Kwa nini Zitto asikosolewe... mtandaoni ....otherwise acha porojoLeta reason kwanini haiwezekani...otherwise acha porojo