Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Kumbuka hawa ndio wapiga kura. Tatizo lako umejawa na kejeli, n way najua ndio muda wa viroba huu
Watakupigia kura uwe mama wa familia,dili la unga limebuma utaanza nusa Patex...
 
Aaagh! Usinikatili hivyo. Kitafute mkuu,maana nina like chache sana kama si hakuna kabisa. Gonga like mwana twende kazi.

harta hapa bado hakijaridi
mi ntazimwaga nyingi tu kikirejea
 
Mkuu kuna vyura wengine kama wa Kihansi huwa wanapanda ndege, lakini kuna vyura wa uswazi wanapiga kelele masaa 24 na hawajui kama kuna daladala zinapiga ruti ya Mwenge- Bunju..... Chura mdogo eti anaipa taasisi kubwa kama CDM masaa 24 adhawaiz anaibomoa. Huyu hata baiskeli ukute hajawahi kuipanda.

Akili za mbayuwayu changanya na zako, says JMK, chairman CCM.

Ahahahahahahaa! Dah! Uuwiiii. Vyura wa kihansi wakubwa zaidi ya kichwa cha mtu.
 
Watu wenye elimu ndogo ndio wapiga kura hao. BTW tz ina asilimie hazizidi 10 za wasomi wenye level ya kwanzia for six.

Unachoongea ni kweli kuwa kuna wasomi wachache sana na huwa hawaendi kupiga kura na wenye elimu dogo ndio wapiga kura. Lkn ukweli ni kwamba Zitto hafai hata akichaguliwa hiyo haibadilishi ukweli kuwa hafai na hili ndio tatizo la watz. Sikuzote TZ itaongozwa na watu wanafiki ambao hawawezi kuifikisha popote kwasababu wapiga kura nao ni hivo hivo. Kuondokana na hili Tanzania inabidi iwepo screening ya namna fulani ambayo itazuia hali hii ya kuwainua wanafiki ambao hawawezi kulifikisha taifa popote. ' WENGI WAPE hii inafaa kwa nchi zilizoendelea na watu wake ni wasomi lkn nchi ambao wajinga ni wengi halafu unasema WENGI WAPE utaishia kupata mtu J.I.N.G.Ax2 ndio anapewa kuongoza nchi. Huyo jamaa Hafai ni JANGA LA TAIFA. Hizi Rushwa anazopewa sasa akichukua nchi atauza zaidi kwani na wengine si tumewaona walipoingia ikulu wakabadilika.
 
tehe tehe tehe tehe.....hahahaha
umenichekesha sana mkuu.
ni kazi sana kwake kukuelewa hapa ulichoandika, zaidi zaidi atadhani umemtusi
Kama atahisi nimemtusi namlinganisha na dokumenti iliyopigwa fotokopi..... Haiwezi kuchukuliwa kama dokumenti halali. Na bahati mbaya au nzuri, hili sio kosa la mashine ya fotokopi.
 
Count down.

Tayari zimebaki saa ishirini na mbili na nusu.
 
Kama atahisi nimemtusi namlinganisha na dokumenti iliyopigwa fotokopi..... Haiwezi kuchukuliwa kama dokumenti halali. Na bahati mbaya au nzuri, hili sio kosa la mashine ya fotokopi.

mtoa kopi atakuwa hajielewi atakapoilaumu mashine....ni hatari sana kutembea ama kutenda kama kuku aliekatwa kichwa
 
mtoa kopi atakuwa hajielewi atakapoilaumu mashine....ni hatari sana kutembea ama kutenda kama kuku aliekatwa kichwa
Ewaaaaa.... Mtoa kopi atakuwa sawa na kikojozi ambaye anajijua anakojoa kitandani. Badala ya kutafuta mbinu ya kuacha kukojoa kitandani, akili yake inamtuma kuwa jawabu ni kuweka nailoni ili godoro lisilowe...... Akili yake inamtuma kuwa tatizo ni godoro lisilowe au kunuka mkojo, kumbe tatizo ni kukojoa kitandani......

Yale yale ya kutatua tatizo kwa kutumia akili ileile iliyoleta tatizo....
 
Binafsi hata mm silidhishwi na mwenendo wa zitto chaman ila sasa naanza kuwa na wasiwasi kuwa yawezekana mwenendo wake chaman umechangiwa pakubwa na hichi tunachokiona humu! Pia pamoja na kuwa mm sio muumin wa zitto ila nakuwa na wasi wasi na viongoz kama slaaa na mbowe kwa ukimya wao na hii naona inamwongezea zitto uaminifu kwa jamii badala ya kuupunguza kama mtoa shutuma alivyolenga na mwisho wa hili sakata kama hao viongozi wasipotoa matamko hata majority iliyokuwepo kwa slaa itajikuta inamsapati zitto pamoja na mapungufu yake:
 
Count down.

Tayari zimebaki saa ishirini na mbili na nusu.

ngoja nikusogezee huduma watch.jpeg
 
Ewaaaaa.... Mtoa kopi atakuwa sawa na kikojozi ambaye anajijua anakojoa kitandani. Badala ya kutafuta mbinu ya kuacha kukojoa kitandani, akili yake inamtuma kuwa jawabu ni kuweka nailoni ili godoro lisilowe...... Akili yake inamtuma kuwa tatizo ni godoro lisilowe au kunuka mkojo, kumbe tatizo ni kukojoa kitandani......

Yale yale ya kutatua tatizo kwa kutumia akili ileile iliyoleta tatizo....

hahahaahaha
anadhani watu watadhani sio yeye kaharibu godoro eti kwasababu walikuwa wawili wamelala..haha! kalagabaho!

kwa idhini yako nakopi signature yako "SHIMO LA PANYA HALIZIBWI KWA MKATE"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom