Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Chadema kimeudhihirishia umma wa Watanzania kuwa si chama cha kisiasa ni chama cha wahuni.

Hivi unategemea nini katika chama kinachoendeshwa na DJ ambae fani yake kuu ni kuendesha kilabu cha usiku (night club)?

Uhuni tu.
 
Lema anatumiwa kaka yake mambo ya Arusha yamemshinda ww na zito lema umeoza sana yatima na wajane umekula ww ufai kabisa wababaishe wasiokujua
 
Mleta mada unataka viongozi wa chadema waje kutoa tamko hapa jf au wapi?
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Yamebaki masaa mangapi mpaka sasa???
 
Chadema kimeudhihirishia umma wa Watanzania kuwa si chama cha kisiasa ni chama cha wahuni.

Hivi unategemea nini katika chama kinachoendeshwa na DJ ambae fani yake kuu ni kuendesha kilabu cha usiku (night club)?

Uhuni tu.

Aisee............
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Msijitoe kwenye shughuli za chama tu jitoeni kabisa kwenye chama, wehu nyinyi mlikua wapi siku Zito kupitia kundi lake la Masalia wakiwashambulia viongozi wa chadema kwa matusi? mnachelewa sana kutoka wenzenu walisha tangulia magambani mnaweza kuwafwata wakati wowote ila chadema haiyumbishwi na kelele za misukule ya Zitto, wala mbowe hawezi kutoa tamko kwa pressure toka kwenu misukule ya Zitto wapuuzi nyinyi.
 
1.jpg


nyinyi mnaoharibu chama kwa kujitafutia umaarufu wa kijinga jinga laana ya hawa wahanga haikwepeki kwenu
 
Vipi umetoa masaa mangapi kwa Kinana kuhusu swala la kingwangala na FILIKUNJOMBE? Kingwangala na MAKINDA? Hao wako makini sana. tulia kijana.
 
Subirin baada ya saa 24 utaona

Hahahahahaah!!!

Mi si muumini wa vyama vya kisiasa wala siasa, ila mikwala mingine najikuta tu nachangia post kama hii kwa huu u.pupu tu baaas. Nimemkumbuka binti yangu alinipiga mkwala "baba usiponinunulia baiskeli mpaka kesho, sitaenda tena shule" Sikumnunulia na shule alienda.

This is too low.......
 
Mkuu binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto lakini kuna mikakati chadema wanaikosea na wanazidi kumpa umaarufu.

Hii inasababishwa na hawa viongozi wa juu kutoshikamana na kutochukua hatua kwa wakati.
Zitto bila chadema he is finished, ila chadema can survive even without him. Bado viongozi hawajajipanga. Ndicho nachopigania.

huoni kuwa unajidanganya mwenyewe mkuu ?
 
we waache waendelee kuwalea hao wajinga wakina lema na wenZie.

Hivi hata wewe mwenyewe unajionaje mpaka uwaite akina lema ni wajinga?
Unaweza ukajiona una akili, kumbe hata wewe unazo dakika zako za uchizi uchizi
 
Wanachami wepi ulionao uyo mkeo,mwanao na mfanyakaz ndio wanachama...

Kumbuka hawa ndio wapiga kura. Tatizo lako umejawa na kejeli, n way najua ndio muda wa viroba huu
 
Mkuu chadema haijashiba wanachama. Chadema ni chama kikubwa, hata akiondoka Slaa, mbowe, zito bado kitasimama maana watu wamewekeza katika hiki chama. Tunaona mbali tunaogopa watu kukiingiza chama katika liabilities za migogoro. Nielewe nia yangu.

Mimi sikitishi chama, lakini mimi na wanachama wangu tuna nguvu ya kuprotest kama kuna ujinga unaoendelea chamani.

Hahahahaahah............ Mi leo acha nicheke tu. Baaaaaaaaas!!!

Kama CDM ina members wa aina hii, acha tu nibakie kuwa msabato Masalia. Naweza pata ndege ya bure niwahi Yerusalemu mpya.
 
sixgates,Mnyika alishatoa tamko humu kupitia mabadiliko na alisema mhe lema kavunja katiba na kanuni za chama.Na kwa sasa wapo kwenye vikao vya serikali. Lakini alisema pia kuwa kawapigia simu wahusika wote yani@Zitto na lema simu hazipokelewi(binafsi nahisi pengine walipokea baadae). Aliwakanya waache na ndio maana hatuoni malumbano tena humu.sasa msemaji wa chama kasema,si ndio kauli ya chama? Unawataka Mbowe na dr Slaa wa nini au ndio mje mseme wanamwingilia Mnyika?.au ulitaka Mnyika aite press comference wakati wao wamejibizana humu humu mitandaoni na yeye alitumia njia ile ile? Kamanda tuliza munkari tujenge chama. Sisi sote ni ndugu,adui yetu ni CCM. Tamko la chama lilishatoka,Lema ana makosa. Kwa hiyo tusubiri vikao vya bunge viishe wamshughulikie.vinginevyo chama hakiwezi kuwatoa wabunge Dodoma waende Dar kumwajibisha Lema.
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Zitto ni kimeooo!!! Ni mnafiki!!!! Kwa nini yeye siku zote huwa hafuati itikadi za chama? Yeye ni muangalia maslahi binafisi. Acha watu wajue ukweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom