sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
- Thread starter
- #221
Wewe ni kama Sindano inayowekwa Uzi kwa nyuma halafu ina shona kwa mbele! Kwani hukuwahi kuona Dr Slaa au Mbowe wakishambuliwa kwa matusi na kejeli nyingi nyingi na mbona hukuwahi kulalamika?
Jamani wacheni kukubali kutumika km Condom ya 250/ isiyokidhi viwango. Wana Chadema wanajulikana na Misukule [Mapandikizi] wanajulikana.
Ingekuwa wewe ni mwana CDM usingeleta hizi hoja zako mfu humu ktk majukwaa haya ya umbea. Lakini kwa kuwa waliokutuma walikupa sharti lazima utimize kwa kuwasikiliza wao. MLIPA ZUMARI NDIO MCHAGUA WIMBO!!
Tulizana kijana wacha Mawenge ya kujidai kuwa wewe ni muelewa wakati huna unalolijua!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!!
Mkuu, hata hueleweki umeongea mseto.